Udsm au ardhiWakuu mimi nilisoma BSc. Geology, kisha MBA sasa nataka nianze PhD katika kuweka CV vizuri, naomba msaada niaweza kupata wapi PhD in Geology?
Asante MkuuUdsm au ardhi
PhD ya nn tafuta pesa nduguWakuu mimi nilisoma BSc. Geology, kisha MBA sasa nataka nianze PhD katika kuweka CV vizuri, naomba msaada niaweza kupata wapi PhD in Geology?
Japo sikushauri usome bongo ila nenda jalalani (udsm).Wakuu mimi nilisoma BSc. Geology, kisha MBA sasa nataka nianze PhD katika kuweka CV vizuri, naomba msaada niaweza kupata wapi PhD in Geology?
We kasome sisi tunaendelea kulamba asaliWakuu mimi nilisoma BSc. Geology, kisha MBA sasa nataka nianze PhD katika kuweka CV vizuri, naomba msaada niaweza kupata wapi PhD in Geology?
Haiwezekani, ulisharibu tayari. 😂😂😂🏃🏃🏃🏃🏃🏃hapo kama lengo lako ni kuwa lecturer soma mineral economics.Wakuu mimi nilisoma BSc. Geology, kisha MBA sasa nataka nianze PhD katika kuweka CV vizuri, naomba msaada niaweza kupata wapi PhD in Geology?