davetz 23
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 206
- 302
Wana jamvi nawasalimu,bila shaka Mwenye enzi amewaamsha salama salmini.Tuzidi kumshukuru Muumba kwa baraka zote.
Mimi ni mtumishi wa serikali wa kada hizi za chini, sijui reaction kwenye neno (chini). Nilifanikiwa kumaliza bachelor degree miaka kumi iliyopita, ingawaje nilikuwa na wazo la kuendelea kusoma masters lakini pia mambo ya IT nilikuwa nayapenda muda mrefu sana, wakati mwingine nilikuwa najaribu kujifunza mwenyewe mtandaoni. Sasa nawaza walau nikasome IT badala ya. Master, naombeni ushauri wenu.
Je, wenye ujuzi zaidi na mambo hayo.
Asante kwa muda mtakaotumia kusoma na kujibu uzi huu.
Mimi ni mtumishi wa serikali wa kada hizi za chini, sijui reaction kwenye neno (chini). Nilifanikiwa kumaliza bachelor degree miaka kumi iliyopita, ingawaje nilikuwa na wazo la kuendelea kusoma masters lakini pia mambo ya IT nilikuwa nayapenda muda mrefu sana, wakati mwingine nilikuwa najaribu kujifunza mwenyewe mtandaoni. Sasa nawaza walau nikasome IT badala ya. Master, naombeni ushauri wenu.
Je, wenye ujuzi zaidi na mambo hayo.
Asante kwa muda mtakaotumia kusoma na kujibu uzi huu.