Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,653
- 66,580
Ilo nalo unatakiwa kufanyiwa maamuzi
45,000 mpaka 50,000Bei yake hii ni ngapi
hicho mi sikijuiHichi wanaita smart 4g kipoje mkuu.. maana ni muda mrefu sana sijatumia new model za simu za button zaidi ya Nokia vitochi
iko vizuri ila upate smart 4g ya tekno au itel,hizo nyingine sijui azumi betri ni dk sifuri tu isha isha.kumbuka hizo smat 4g hazina operaminNaambiwa ki smart 4g na kenyewe sio mbaya Japo siijui
mkuu hapa mimi natumia azumi smart 4g kiko vizuri google search ipo pia ni kweli chaji havikai lakin vinaridhisha ukiwa mtumiaji wa kawaida.iko vizuri ila upate smart 4g ya tekno au itel,hizo nyingine sijui azumi betri ni dk sifuri tu isha isha.kumbuka hizo smat 4g hazina operamin
Kitochi kinaganda ile mbayaNaambiwa ki smart 4g na kenyewe sio mbaya Japo siijui
Zinapatikana wapi mkuu?45,000 mpaka 50,000
Sijajua uko mkoa gani lakin kwa dar ziko gongolamboto kwenye maduka ya cm na hata kariakooZinapatikana wapi mkuu?
Lakini tano kama kipato au mtaji mkuu?Ndiyo wengi wetu iko hivo ila ukiweza pata laki 5 panda juu maisha unayamudu ikiwa sio mtu wa starehe
Laki tano iwe faida mkuu yaani kipato.Lakini tano kama kipato au mtaji mkuu?