Nataka nipate mimba, naomba msaada

Nataka nipate mimba, naomba msaada

Huyo unaetaka akupe mimba
Umempa taarifa au maana
Nyie mabinti si watu
Wa mchezo mchezo.
 
Hivi ile.standard six walikuwa wanatenga mabint peke yao kuwapa somo

Hivi walikuwa hawawafundishi haya mambo.

maana nikizungumzia form theree sina uhakika kama umepita au vip..

Anyway
We sex tuu siku zote itajulikana tuu,kuwa na mizuka nikuumua
 
Kalia mpododo siku nyingi kadri inavyowezekana hakikisha na mwenzio kala vyakula vizuri aweze kurutubisha yai
 
Kuna Mtu unamtega au nia yako tu... Me naweza kukupa maana naweza piga game kila sikuhata miezi kadhaa
 
Hivi ile.standard six walikuwa wanatenga mabint peke yao kuwapa somo

Hivi walikuwa hawawafundishi haya mambo.

maana nikizungumzia form theree sina uhakika kama umepita au vip..

Anyway
We sex tuu siku zote itajulikana tuu,kuwa na mizuka nikuumua
Nina bachelor
 
Mimi mwenyewe natafuta mtoto.

Tutafutane mwezangu.
 
Wanajf salaam,Mimi ni binti wa miaka 24 nimeanza period tarehe 4 na kumaliza tarehe 6 mwezi huu nisex lini ili nipate mimba maana natamani sana mtoto.Natanguliza shukrani
siku 2 umemaliza period??
 
Wanajf salaam,Mimi ni binti wa miaka 24 nimeanza period tarehe 4 na kumaliza tarehe 6 mwezi huu nisex lini ili nipate mimba maana natamani sana mtoto.Natanguliza shukrani
2085665cd30f49e9d543544c57700763.jpg
 
Kwanza umeolewa? Unataka kufanya tendo la ndoa au zinaa?
Tuanzie hapo kwanza maana tusijetoa ushauri wa kukuangamiza.
 
Back
Top Bottom