mwanga mweusi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 255
- 408
Mimi ni fundi ujenzi kuna jamaa namdai yeye ni fundi aliniuzia kazi sasa kwenye kunilipa ndio shida hatujaandikiana ila ushaidi wa kawaida kua namdai upo sasa naomba kujua kama naweza kumshitaki mahakamani nilienda polisi wakanambia niende mahakamani naombeni mwongozo kama ina wezekana na nipitie hatua zipi ili nipate haki yangu kazi ya ujenzi ni ngum sana ila ndio maisha au kama kuna yeyote anaweza nisaidia namna ya kufanya nilipwe anisaidie sina huruma nae kwa lolote hata mm nilifanya kazi za hatari sana ila akaona hela yangu akale na familia yake
NAWASILISHA
NAWASILISHA