Kutumia viagra za dukani hkikisha hauna tatizo lolote la kiafya linalohusiana na mzunguko wa damu kama vile blood pressure etc.
Kama uliwahi kua na tatizo hilo au pengine unalo na hujui basi usijaribu kabisa maana utafia gest house na utaleta fedheha kwa familia yako.
Kama unawasiwasi na show zako nakushauri tafuta hivi vitu:
Maziwa fresh (angalau glass moja)
Tende ( tunazokula wakati wa mfungo wa Ramadhan)
Asali (yoyote ile nyuki wadogo au wakubwa).
Cha kufanya:
Tende zako zitoe mbegu, unaweza kuhitaji kuanzia tende 20 (kuboresha matokeo yako).
Baada ya hapo, tia maziwa kwenye blenda, tia tende zako zisizo na mbegu, tia vijiko vya asali kuanzia vitatu.
Washa blenda yako ivisage vizuri mpaka viwe juice kabisa.
Baada kukamilisha juice yako tia kwenye kikombe/glass then kunywa kabla ya 1 hour kwenda kwenye show.
Kwa siku hiyo kumbuka kunywa maji ya kutosha kuanzia asubuhi.
Piga show mkuu.
Usisahau kuleta mrejesho.
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Kama huwezi kupata hiyo juice hapo juu na umejihakikishia huna tatizo la kiafya basi nenda pharmacy nunua dawa inaitwa Erecto.
Nakushauri ununue kidonge kimoja cha mg 50 tu, meza nusu saa kabla ya mechi then kutana na mpinzani wako.
Usinunue kidonge cha mg 100.