Nataka nijaribu viagra, ni hatari au?

Nataka nijaribu viagra, ni hatari au?

Mkuu jnamfahamu jogoo (kuku)?
Show yake haizidi hata sekunde arobaini lakini anatoa vifaranga hata zaidi ya 15

Lakini wewe hapo sasa unataka viagra ili upige show ya kibabe (ZAIDI YA DAKIKA 30~45) alafu mwisho wake unakuja toa katoto KAMOJA TU!!

Hiyo si ni aibu mzee kuzidiwa hadi na jogoo...
Anywayz achana na viagra tumia mzizi mmoja wa kimaasai inaitwa NGORORIIIIII ni zaidi hata ya vumbi la congo (amavubi) alafu uzuri ukitafuna mara moja anaweza piga show hata zaidi ya wiki ndio unatafuna tena.

Tahadhari "UKITAFUNA USIENDELEE KUISHI DAR HAMIA MIKOANI"
 
Kutumia viagra za dukani hkikisha hauna tatizo lolote la kiafya linalohusiana na mzunguko wa damu kama vile blood pressure etc.

Kama uliwahi kua na tatizo hilo au pengine unalo na hujui basi usijaribu kabisa maana utafia gest house na utaleta fedheha kwa familia yako.


Kama unawasiwasi na show zako nakushauri tafuta hivi vitu:

Maziwa fresh (angalau glass moja)
Tende ( tunazokula wakati wa mfungo wa Ramadhan)
Asali (yoyote ile nyuki wadogo au wakubwa).

Cha kufanya:

Tende zako zitoe mbegu, unaweza kuhitaji kuanzia tende 20 (kuboresha matokeo yako).

Baada ya hapo, tia maziwa kwenye blenda, tia tende zako zisizo na mbegu, tia vijiko vya asali kuanzia vitatu.

Washa blenda yako ivisage vizuri mpaka viwe juice kabisa.

Baada kukamilisha juice yako tia kwenye kikombe/glass then kunywa kabla ya 1 hour kwenda kwenye show.

Kwa siku hiyo kumbuka kunywa maji ya kutosha kuanzia asubuhi.

Piga show mkuu.
Usisahau kuleta mrejesho.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.

Kama huwezi kupata hiyo juice hapo juu na umejihakikishia huna tatizo la kiafya basi nenda pharmacy nunua dawa inaitwa Erecto.
Nakushauri ununue kidonge kimoja cha gram 50 tu, meza nusu saa kabla ya mechi then kutana na mpinzani wako.

Usinunue kidonge cha gram 100.
Kidonge cha gram 50?????,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutumia viagra za dukani hkikisha hauna tatizo lolote la kiafya linalohusiana na mzunguko wa damu kama vile blood pressure etc.

Kama uliwahi kua na tatizo hilo au pengine unalo na hujui basi usijaribu kabisa maana utafia gest house na utaleta fedheha kwa familia yako.


Kama unawasiwasi na show zako nakushauri tafuta hivi vitu:

Maziwa fresh (angalau glass moja)
Tende ( tunazokula wakati wa mfungo wa Ramadhan)
Asali (yoyote ile nyuki wadogo au wakubwa).

Cha kufanya:

Tende zako zitoe mbegu, unaweza kuhitaji kuanzia tende 20 (kuboresha matokeo yako).

Baada ya hapo, tia maziwa kwenye blenda, tia tende zako zisizo na mbegu, tia vijiko vya asali kuanzia vitatu.

Washa blenda yako ivisage vizuri mpaka viwe juice kabisa.

Baada kukamilisha juice yako tia kwenye kikombe/glass then kunywa kabla ya 1 hour kwenda kwenye show.

Kwa siku hiyo kumbuka kunywa maji ya kutosha kuanzia asubuhi.

Piga show mkuu.
Usisahau kuleta mrejesho.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.

Kama huwezi kupata hiyo juice hapo juu na umejihakikishia huna tatizo la kiafya basi nenda pharmacy nunua dawa inaitwa Erecto.
Nakushauri ununue kidonge kimoja cha gram 50 tu, meza nusu saa kabla ya mechi then kutana na mpinzani wako.

Usinunue kidonge cha gram 100.
Sio gram ni milligrams
 
Kutumia viagra za dukani hkikisha hauna tatizo lolote la kiafya linalohusiana na mzunguko wa damu kama vile blood pressure etc.

Kama uliwahi kua na tatizo hilo au pengine unalo na hujui basi usijaribu kabisa maana utafia gest house na utaleta fedheha kwa familia yako.


Kama unawasiwasi na show zako nakushauri tafuta hivi vitu:

Maziwa fresh (angalau glass moja)
Tende ( tunazokula wakati wa mfungo wa Ramadhan)
Asali (yoyote ile nyuki wadogo au wakubwa).

Cha kufanya:

Tende zako zitoe mbegu, unaweza kuhitaji kuanzia tende 20 (kuboresha matokeo yako).

Baada ya hapo, tia maziwa kwenye blenda, tia tende zako zisizo na mbegu, tia vijiko vya asali kuanzia vitatu.

Washa blenda yako ivisage vizuri mpaka viwe juice kabisa.

Baada kukamilisha juice yako tia kwenye kikombe/glass then kunywa kabla ya 1 hour kwenda kwenye show.

Kwa siku hiyo kumbuka kunywa maji ya kutosha kuanzia asubuhi.

Piga show mkuu.
Usisahau kuleta mrejesho.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.

Kama huwezi kupata hiyo juice hapo juu na umejihakikishia huna tatizo la kiafya basi nenda pharmacy nunua dawa inaitwa Erecto.
Nakushauri ununue kidonge kimoja cha gram 50 tu, meza nusu saa kabla ya mechi then kutana na mpinzani wako.

Usinunue kidonge cha gram 100.
Yote ayo ya nn.... Tende za mfungobtu znatosha mbna! Ivo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume mnapenda kujichoresha na kujishushia heshima......we unaona ujanja mwenyewe!!! Mngekuwa mnajua
Kwani unafikiri na yeye mkewe haliwi na kaka wa huyo shogake?

What goes around comes around tu 😀
 
Aisee habarini, wadau nina ahadi ya kukutana na mdogo wa rafiki ya mke wangu nikampige gemu Ijumaa ijayo. Sasa nataka nikapige gemu la ukweli na kuachana nae mazima.

Sasa juzi nimekaa nikasema nijaribu viagra ili performance ipande nimle kweli kweli japo sina tatizo lolote la kuamsha dude ni mzima 100 asilimia.

Nimejaribu kucheki internet nikaona kama inaweza kuwa na makomplication na ma side effect kibao pia wameandika sijui mpaka daktari akuandikie .

Sasa je nauliza nikienda famasi siwezi kupata na kununua tu kama tunavonunua panado kiulaini??

Pia kama nikila nitarajie nini ?nisije nikala dude likawa halishuki nitashindwa kwenda kazini.

Huyo mtoto ni mzuri anasoma chuo, ashakula pesa zangu nyingi zaidi ya laki 7. Sasa nataka nimlie viagra
Kwenu ni Dar mkuu? Maana watu wa Daslam ndiyo wanapenda kubusti.

Wazee wa kubusti.
 
Mkuu jnamfahamu jogoo (kuku)?
Show yake haizidi hata sekunde arobaini lakini anatoa vifaranga hata zaidi ya 15

Lakini wewe hapo sasa unataka viagra ili upige show ya kibabe (ZAIDI YA DAKIKA 30~45) alafu mwisho wake unakuja toa katoto KAMOJA TU!!

Hiyo si ni aibu mzee kuzidiwa hadi na jogoo...
Anywayz achana na viagra tumia mzizi mmoja wa kimaasai inaitwa NGORORIIIIII ni zaidi hata ya vumbi la congo (amavubi) alafu uzuri ukitafuna mara moja anaweza piga show hata zaidi ya wiki ndio unatafuna tena.

Tahadhari "UKITAFUNA USIENDELEE KUISHI DAR HAMIA MIKOANI"
Huo mzizi unapatikana wapi
 
Mkuu jnamfahamu jogoo (kuku)?
Show yake haizidi hata sekunde arobaini lakini anatoa vifaranga hata zaidi ya 15

Lakini wewe hapo sasa unataka viagra ili upige show ya kibabe (ZAIDI YA DAKIKA 30~45) alafu mwisho wake unakuja toa katoto KAMOJA TU!!

Hiyo si ni aibu mzee kuzidiwa hadi na jogoo...
Anywayz achana na viagra tumia mzizi mmoja wa kimaasai inaitwa NGORORIIIIII ni zaidi hata ya vumbi la congo (amavubi) alafu uzuri ukitafuna mara moja anaweza piga show hata zaidi ya wiki ndio unatafuna tena.

Tahadhari "UKITAFUNA USIENDELEE KUISHI DAR HAMIA MIKOANI"
Dah umenifurahisha San mzeebaba
Akila ahame jiji LA gwajima n makonda au co

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom