Peter_John
Member
- Sep 12, 2022
- 50
- 87
SUBIRI WAKUU WAJE KUKUPA MUONGOZIHabari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini
Ni hayo tu
Unataka kulima nini? Waone wataalam wa udongo, wakushauri maeneo mazuri kwa ajili ya kilimo unachokitakaHabari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini
Ni hayo tu π
Heka moja ni mita au futi ngapi kwa ngapi?Habari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini
Ni hayo tu π
Mita 64x64Heka moja ni mita au futi ngapi kwa ngapi?
=Eka.Mita 64x64
Ndio=Eka.
Pita vijiji jirani na mzenga kipimo hicho kipo chini ya 800k=Eka.
Sasa si inabidi nipate eneo then ndo nitafute wataalam waje kupima udongo Kisha nijue kutokana nau udogo huo nalima kitu gani, sababu huwezi kupima eneo la mtuUnataka kulima nini? Waone wataalam wa udongo, wakushauri maeneo mazuri kwa ajili ya kilimo unachokitaka
Tafuta mganga wa jadi akupigie ramliSasa si inabidi nipate eneo then ndo nitafute wataalam waje kupima udongo Kisha nijue kutokana nau udogo huo nalima kitu gani, sababu huwezi kupima eneo la mtu
Kama unataka kulima mpunga au mahindi ya kiangazi au mboga, nina eka nne kando ya kijito kidogo na ni barabarani Mkuranga. Bei ni Tsh 3M kwa eka moja.Habari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini
Ni hayo tu π
Tafuta miono heka ni laki mbili na nusu kuzuri mnoHabari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini
Ni hayo tu π
Ndio wapi huko mkuuTafuta miono heka ni laki mbili na nusu kuzuri mno
Vipi sio kukame?Pita vijiji jirani na mzenga kipimo hicho kipo chini ya 800k
Hali ya hewa haipishani na ya Dar, Ila kisarawe mito ya kudumu ni michache hivyo kama unafikiria kumwagilia jaribu kudadisi maeneo karibu na vyanzo vya maji.... baadhi ya maeneo Yana chumvi nyingi ardhini kiasi hata ukipanda miwa unakuwa na chumvi chumviVipi sio kukame?
Njoo Dodoma mkuu,hutojuta.Habari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini
Ni hayo tu π
Shukrani MkuuHali ya hewa haipishani na ya Dar, Ila kisarawe mito ya kudumu ni michache hivyo kama unafikiria kumwagilia jaribu kudadisi maeneo karibu na vyanzo vya maji.... baadhi ya maeneo Yana chumvi nyingi ardhini kiasi hata ukipanda miwa unakuwa na chumvi chumvi