Nataka niingie kwenye kilimo, kwa anaye uza eneo/ shamba

Peter_John

Member
Sep 12, 2022
50
87
Habari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu anauza eneo /shamba maeneo ya mkoa wa pwani tuwasiliane pm, kwa kuanzia natakata heka mbili tatu au hata heka 1, na kuhusu bei sio Yale mashamba ya 10M kwa heka hiyo hapana , ni Yale ya bei ya chini

Ni hayo tu πŸ™
 
SUBIRI WAKUU WAJE KUKUPA MUONGOZI
Kazi kweli kweli/ Job true true
 
Unataka kulima nini? Waone wataalam wa udongo, wakushauri maeneo mazuri kwa ajili ya kilimo unachokitaka
 
Heka moja ni mita au futi ngapi kwa ngapi?
 
Kama unataka kulima mpunga au mahindi ya kiangazi au mboga, nina eka nne kando ya kijito kidogo na ni barabarani Mkuranga. Bei ni Tsh 3M kwa eka moja.
 
Tafuta miono heka ni laki mbili na nusu kuzuri mno
 
Vipi sio kukame?
Hali ya hewa haipishani na ya Dar, Ila kisarawe mito ya kudumu ni michache hivyo kama unafikiria kumwagilia jaribu kudadisi maeneo karibu na vyanzo vya maji.... baadhi ya maeneo Yana chumvi nyingi ardhini kiasi hata ukipanda miwa unakuwa na chumvi chumvi
 
Njoo Dodoma mkuu,hutojuta.
 
Shukrani Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…