Pesa karatasi
Senior Member
- Nov 6, 2017
- 133
- 74
Kumbe unapikipiki boxer X150,..ok sawa
Safiri usiku maana mchana giza nene
hahaaaaa!! unabaniwa njia unaingia mtaroni uko kwenye 120km/hr kitakachofuata......Kha! subiri msimu wa xmass upite usije ukasukumwa nama V8 haaaa!
salg ni pikipiki lkn boxer ndg jiandae na kurudi na basi , huko pikipiki ukiicha hukohuko.Kaka utaikaanga..trust me mwenye Sanlg mchina anatoboa lakini hizi boxer za siku hizi majanga! itamwaga moshi hutaamini..zinakufa sana ring piston..i stand to be corrected!
Natatumia boxer mwaka wa nne naelekea haijawahi nisumbua, ni wewe mwenyewe unatumia?Kaka utaikaanga..trust me mwenye Sanlg mchina anatoboa lakini hizi boxer za siku hizi majanga! itamwaga moshi hutaamini..zinakufa sana ring piston..i stand to be corrected!
Unaweza ukawa sahihi mkuu maana siku nyingi sijaendesha pikipiki tangu katikati ya 2008, pikipiki haina rejeta hivyo ikiendeshwa kwa muda mrefu kuna uwezekano wa injini kupata moto na hata block kutanuka (sijui hizi za sasa maana wengine tulitumia XL na Yamaha DT those days na zilikuwa imara kabla ya pikipiki za sasa kushika kasi)...labda kama ataendesha kila baada ya kilometre 150 anapumzika nusu saa alafu anaendelea pia asiendeshee sifa ya speed kali maana sidhani hata kama hizo kilometa 150 atazifikiaKaka utaikaanga..trust me mwenye Sanlg mchina anatoboa lakini hizi boxer za siku hizi majanga! itamwaga moshi hutaamini..zinakufa sana ring piston..i stand to be corrected!
Anataka akifika huko awe anaitumia kwa mizunguuko mkuu (labda lakini)Wakuu mbona mnamtisha sana,atakata tamaa ya Safari jamani?ila kwani mabasi yamekwisha?
Mshauri mdau kuhusu hiyo safari anayotaka kufanya ili kumtia moyo kutokana na uzoefu wako wa boxerNatatumia boxer mwaka wa nne naelekea haijawahi nisumbua, ni wewe mwenyewe unatumia?
Unatoa lift kwa mchaga mwenzio tu sio?nikajua mchaga mwenzangu umekwama nikupe lift usiangaike na boxer
Hahhaha hapana mkuu makabila yote ila mchaga inapendeza zaidiUnatoa lift kwa mchaga mwenzio tu sio?
Jitahid kuwa makini sana ...Nina pikipiki Boxer X150 nataka nitumie kama usafiri kutoka Dar kwenda Moshi Mjini, nipeni ushauri muda mzuri wa kuanza safari, sehemu za kupumzika, nimwage oil kila baada ya Km ngap?
NB:
Sijawahi kufika Moshi kwahiyo itakuwa ndio safari yangu ya kwanza!