Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,098
Nina pikipiki Boxer X150 nataka nitumie kama usafiri kutoka Dar kwenda Moshi Mjini, nipeni ushauri muda mzuri wa kuanza safari, sehemu za kupumzika, nimwage oil kila baada ya Km ngap?
NB:
Sijawahi kufika Moshi kwahiyo itakuwa ndio safari yangu ya kwanza!
Updates:
Nimefika salama Moshi Mjini, nimeenjoy safari yangu vizuri ila kwasasa mwili unaumwa kwa uchovu!
NB:
Sijawahi kufika Moshi kwahiyo itakuwa ndio safari yangu ya kwanza!
Updates:
Nimefika salama Moshi Mjini, nimeenjoy safari yangu vizuri ila kwasasa mwili unaumwa kwa uchovu!