Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

Dada huyo mtoto unaweza kumlea peke yako? Je, ukiachia tendo la ndoa, mambo mengine vipi? Anakupa mahitaji, anakujali, je vipi mtoto wake umeridhishwa na anavyo mtunza? Ndugu zako vipi ana mahusiano nao vipi? Na wewe ndugu zake kama vile mama yake dada zake na wadogo zake mnamahusiano yakoje?
Ningejua hayo ningeweza kukupa wazo ila UAMUZI NI WAKO
Ni kwamba familia naisapoti kwa asilimia 80% na ndugu zake niko nao vizur, hata sasa naish na wifi yangu. Na pia kwa vile napambana mtoto kumlea sitashindwa, kwa hiyo kiufupi mimi ndo nalisha familia mara nyingi
 
Ni kwamba familia naisapoti kwa asilimia 80% na ndugu zake niko nao vizur, hata sasa naish na wifi yangu. Na pia kwa vile napambana mtoto kumlea sitashindwa, kwa hiyo kiufupi mimi ndo nalisha familia mara nyingi

Muombe ukapumnzike kwenu, ili upate nafasi ya kujitafakari. Uondoke kwa namna ambayo ni ya amani. Wakati mwingine watu wanabip. Na kuna mataalam aliwahi kusema huwezi kujua thamani ya ulichonacho mpaka ukikose. Sasa ukiwa kwenu kwa muda utampa nafasi ya kujua thamani yako. Kwenu kwa maana pana hata kwa mjomba kwa rafiki au sehemu yeyote. Ili mradi tu uadimike mbele ya uso wake. NI USHAURI TU UAMUZI NI WAKO.
 
Pole mumy kwa changamoto unayopitia..muamuzi wa mwisho ni ww pima uone ni unapaswa kufanya kwa ajili ya nafsi yako..
 
Kwani ulialia ninii APA?!wanaume wameisha?!au umezaliwa nayee?!au amekuoa ndio za kikristo?! Jibu kichwan mwako.
 
Habari za mchana,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilianza kuishi na huyu baba baada ya kupata uja uzito. Nilikua kwenye mahusiano ya uchumba kwa miaka 3 na mtoto kwa sasa ana 2 years, ila bado hatujafunga ndoa, sisi sote ni waajiriwa na tunalala kitanda kimoja. Tatizo ni kuwa mume yeye anafanya tendo la ndoa pale anapojisikia yeye na kwa mwezi na mara 3 au 4 nayo ni ya kusua sua yaani dk3 kashamwaga na hawezi tena kwenda round ya pili, halafu mimi nikiwa nahitaji sipewi.

Nikimuuliza shida ni nini anasema hana shida ila tu hana feelings na wala hana hamu. Pia anasema mimi siko romantic. miezi michache iliyopita nikuta message za Fb za kutongoza akichati na mdada mmoja na kuna housgirl aliondoka kwa kusema kuwa mume wangu anamtaka. Sasa jamani mimi nimeongea nae anasema uamuzi ni wangu nikiamua niondoke na nikiamua nibaki na kama siridhiki nitafute wa kuniridhisha. Sio kwamba nimechokwa au maana sina mchepuko na sijawai kumsaliti ila kwa sasa najihisi tu niachane nae niondoke tu.


Nisaidieni wadau
Endeea kumvumilia na kuongea nae taratibu lakini pia pua jitahidi uwe romantic,mchunguze vizuri ujue anapenda nini kwenye sex ila usimchunguze kama anachepuka
 
Tatizo siku hizi wadada wengi mnatega mimba makusudi ili kushinikiza kuolewa bila kufanya uchanganuzi kama huyo uliyenaye kwenye mahusiano anakupenda kweli au la na mwisho wa siku haya huwa ndo matunda yake. Yawapasa kujua kuwa sio kila mahusiano lazima yaishie kwenye ndo mengine hupita kama tuition katika maisha.
 
Tukusaidie kwenye dhambi?

Ushauri wangu, achana nae fanya toba, usimfungulie mtu kufuli lako tena mpaka uolewe.
 
halmashauri yakichwa chako ilishafanya maamuz sahihi hapo huna chako chapa lapa......ndiomaana mnashauriwa msihamie kwa wanaume kabla ya ndoa
 
sasa dada siamesha kwambia wewe sio romantic ndio maana yuko hivyo au anakusingizia..??? au wewe unajihisi ni romantic. .?? viuno unaviweza...?? kwani gemu ya kwanza ilikuwa hivyo au hiyo tabia imeanza hivi karibuni..?? lakini siumeshapewa uhuru tafuta anayekuridhisha sasa unataka ushauri gani..??
 
Habari za mchana,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilianza kuishi na huyu baba baada ya kupata uja uzito. Nilikua kwenye mahusiano ya uchumba kwa miaka 3 na mtoto kwa sasa ana 2 years, ila bado hatujafunga ndoa, sisi sote ni waajiriwa na tunalala kitanda kimoja. Tatizo ni kuwa mume yeye anafanya tendo la ndoa pale anapojisikia yeye na kwa mwezi na mara 3 au 4 nayo ni ya kusua sua yaani dk3 kashamwaga na hawezi tena kwenda round ya pili, halafu mimi nikiwa nahitaji sipewi.

Nikimuuliza shida ni nini anasema hana shida ila tu hana feelings na wala hana hamu. Pia anasema mimi siko romantic. miezi michache iliyopita nikuta message za Fb za kutongoza akichati na mdada mmoja na kuna housgirl aliondoka kwa kusema kuwa mume wangu anamtaka. Sasa jamani mimi nimeongea nae anasema uamuzi ni wangu nikiamua niondoke na nikiamua nibaki na kama siridhiki nitafute wa kuniridhisha. Sio kwamba nimechokwa au maana sina mchepuko na sijawai kumsaliti ila kwa sasa najihisi tu niachane nae niondoke tu.


Nisaidieni wadau

kwakuwa hamjaoana basi sasa ni wakati wako wa kutafuta jembe likuwowe hapo utakuwa umefanya maamuzi magumu lkn yatakusaidia. nafurahi huyo jamaa yako kakuweka wazi kuwa huna mvuto kwake kwa sasa.:confused2: maana haoni jipya tena kutoka kwako. sasa fanya utafute atakaekuwa anakuona mpya kila uchao.
 
Tukusaidie kwenye dhambi?

Ushauri wangu, achana nae fanya toba, usimfungulie mtu kufuli lako tena mpaka uolewe.

kufuli gani wakati limeshabomolewa tayari na limeshaleta faida ya katoto. hakuna kufuli hapo.
afu umeulizwa na mdau je ww umeolewa? huenda anahitaji kupima maji kama yapo au la.. mjibu haraka inawekezana ikawa ni bahati yako hiyo.
cc: kilaza
 
unajua ukimzoea mtu unashindwa kumwambia ukwel....hapo anataka uage wewe ili badae usiseme yeye ndo alikuacha.....in short kakuchoka lakini my advice....dont make it easy for him fanya kaz tafuta pesa kwa sasa u treat him da way anvyokutreat cku akitaka na wewe hujickiii.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom