nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Ushaambiwa ondoka unachosubiri ni nini? subiri aongeze vituko...maisha mafupi na wewe unataka kuyaishi unalia...utazeeka wewe
achana nae... km vip uje kwangu....
mekumiss bae! mekumiss haswaaaaaa uje tucheke!Jaman wote humu tunashuri ondoka ondoka sawa lakinn tujiulize
mleta mda utataka tena kuolewa? ama kuwa na mpenzi? sasa je utakaye mpata ni malaika?
ivi unaonaje ukatengeenza ulipo ili uwe romantic?
nichek PM nikupe ujanja wa mstuni ila shhhhhhhhhhhhhh
asije skia cacico manake atanitoa roho wallah navujisha siri za ndani
ushauri wangu ni rahisi sana kutengeneza ulipo ili pawe bora kuliko kwenda kujenga pengine ambapo hujui patakuwa bora ama laa
mekumiss bae! mekumiss haswaaaaaa uje tucheke!
Sawa mkuu usemavyo, lakini ajifunze kuremba na kupamba, weka manukato ktk maisha ya nyumbani kwake, Dada zenna chukuwa ushauri huu;- ukiwa nymbani kwako mbele ya Boss valia mavazi maridadi acha mtambara yako pembeni.... zungumza lugha taamu ya kimahaba... Bwana atalewa huba zako!!!! zennaMovie za kimahaba ni Sinema tu zile acheni kumuongopea,wengi huwa wanataka sex kam wanavyoona kwenye hizo movie na wasipopata kama walivyoona ndio huanza kulalama hawaridhishwi,
Zile ni sinema kama za Holywood tu zina editing kibaoo
Tena anasubiri tu uondoke afanye sherehe! Kifupi hakutaki kakuchoka.
Huu ushauri hauna afya kabisa mapenzi ni ya wawili.
Exactly !!Kama ninazovaaga mimi hadi unaniandikia check?????????????
Kwa kua bado hamjaoana unaweza kwenda tu, Mungu atakujaalia mbele ya safari maana hayo maisha ni hatarii
Hawajaoana wakati wameishi pamoja na kulala kitanda kimoja miaka mitatu!!????????