Sasa hivi nahitaji kuanza maisha mapya ila kunabint nilikuwa kwenye mahusiano nae kwa zaidi ya mwaka sasa, bado ananipenda na anatarajia nitamuoa na anamatatizo ya Moyo, na kila nikitafuta namna ya kuachana nae nashindwa! nitumie njia gani ili pia nisimuumize.
Kwasasa hatupo pamoja mimi nipo mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine! tunawasiliana tuu kwa njia ya simu!Wait...unasema ulikuwa naye kwenye uhusiano [wakati uliopita] lakini papo hapo unasema kwamba anatarajia utamuoa...
Hapo sijaelewa....kama ulikuwa naye, ina maana sasa hivi hauko naye?
Kama sasa hivi hauko naye, iweje sasa atarajie utamuoa?
Nilidhani labda kusoma na kutokuelewa ni janga lakini kumbe hata kujieleza nako ni vilevile tu.
Kavurugwa huyo ndio maanaWait...unasema ulikuwa naye kwenye uhusiano [wakati uliopita] lakini papo hapo unasema kwamba anatarajia utamuoa...
Hapo sijaelewa....kama ulikuwa naye, ina maana sasa hivi hauko naye?
Kama sasa hivi hauko naye, iweje sasa atarajie utamuoa?
Nilidhani labda kusoma na kutokuelewa ni janga lakini kumbe hata kujieleza nako ni vilevile tu.
Why unahis hawez kuwa mkeoLahasha si kwa sababu ya tatizo la lake, ila hofu yangu ni nisije msababishia matatizo baada ya kuachana!
Good question.Why unahis hawez kuwa mkeo
Wafrika tumeumbwa na roho ya kipekee kbsa tofauti na wenzetu.Kavurugwa huyo ndio maana
Wafrika tumeumbwa roho ya kipekee kbsaWait...unasema ulikuwa naye kwenye uhusiano [wakati uliopita] lakini papo hapo unasema kwamba anatarajia utamuoa...
Hapo sijaelewa....kama ulikuwa naye, ina maana sasa hivi hauko naye?
Kama sasa hivi hauko naye, iweje sasa atarajie utamuoa?
Nilidhani labda kusoma na kutokuelewa ni janga lakini kumbe hata kujieleza nako ni vilevile tu.
If it happen unataka kumuacha mtu halafu hutaki aumie pindi utakapomuacha, this psychologically means hata wewe unampenda huyo mtu ila kuna tatizo ( ana kasoro ) kidogo kitu ambacho kina kufanya mapenzi yako kwake yapungue na ufikie uamuzi wa kumuacha. The best advice that i can give is just to find out a solution of her problem but to find a way to leave her am sure i won't work unless you force it. Unajua nakwambia hivo kwa sababu najua 'nothing can happen in vacuum' nikimanisha kwamba lazima kutakuwa na sababu ya wewe kumuacha na hiyo sababu ndio tatizo lenyewe so try to solve that problem ikishindikana mshirikishe na yeye pia mkishindwa kulisolve wote basi hiyo ndio itakua sababu rasmi ya kumuacha. "Am talking from experience, am already did it once".Sasa hivi nahitaji kuanza maisha mapya ila kunabint nilikuwa kwenye mahusiano nae kwa zaidi ya mwaka sasa, bado ananipenda na anatarajia nitamuoa na anamatatizo ya Moyo, na kila nikitafuta namna ya kuachana nae nashindwa! nitumie njia gani ili pia nisimuumize.
Why unahis hawez kuwa mkeo
Ni kweli kabisa naanza kupata kitu kutoka kwakoIf it happen unataka kumuacha mtu halafu hutaki aumie pindi utakapomuacha, this psychologically means hata wewe unampenda huyo mtu ila kuna tatizo ( ana kasoro ) kidogo kitu ambacho kina kufanya mapenzi yako kwake yapungue na ufikie uamuzi wa kumuacha. The best advice that i can give is just to find out a solution of her problem but to find a way to leave her am sure i won't work unless you force it. Unajua nakwambia hivo kwa sababu najua 'nothing can happen in vacuum' nikimanisha kwamba lazima kutakuwa na sababu ya wewe kumuacha na hiyo sababu ndio tatizo lenyewe so try to solve that problem ikishindikana mshirikishe na yeye pia mkishindwa kulisolve wote basi hiyo ndio itakua sababu rasmi ya kumuacha. "Am talking from experience, am already did it once".
Gud luck.
Dogo acha ujinga. Kisa ana matatizo ya moyo ndio umuache ? Grow up.Sasa hivi nahitaji kuanza maisha mapya ila kunabint nilikuwa kwenye mahusiano nae kwa zaidi ya mwaka sasa, bado ananipenda na anatarajia nitamuoa na anamatatizo ya Moyo, na kila nikitafuta namna ya kuachana nae nashindwa! nitumie njia gani ili pia nisimuumize.