Kesho sasa, maana leo imeshakua too late.kwenda naye kukaa sehemu kubadilisha mawazo (hatongozwi).nitamrudisha kwao mapema kabla ya saa 3 usiku.situmii kilevi. vipi uko poa nikucheki?
Kwani nani kasema mi natania? Tumalize hapa tu, hamna cha PM.dada mwali ujue mimi sitanii..ni ki ukweli kweli. kwa hio sasa ni ku pm au tumalize hapa hapa hadharani kupeana contacts na muda wa kukutana
aka..simtaki yule ni under age kwanza mimi ndio nimetoka kijijini watoto wa mjini wale nitawawezea wapi mama
Kwani nani kasema mi natania? Tumalize hapa tu, hamna cha PM.
We uko wapi? mi napatikana Tanga ila ukinitumia nauli nakuja Dar.
Duh? Umetoka kijijini mara hii unaulizia vijungu...
Anyways, labda mi ndo nimechanganya maana hapa nyuma ya Millenium Towers kuna sehemu inaitwa Kijijini.
simtaki huyu anasukuma watu
awe mwembamba wa kawaida kijungu cha kawaida .kila gharama juu yangu.:car: