Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,158
Hata Nyerere mwenyewe alitumia muda mrefu sana kutafakari kabla hajatoa Tamko la vita vya Kagera. Ss wahenga walisema msemo huu" Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake" na wengine wakasema "Kwa mwoga huenda kicheko bali kwa shujaa kilio"Sasa nyie wa kaka wa Tanzania tukivamiwa itakuaje jamani?mbona mna mioyo ya uoga hivi? vitani unavyoenda matokeo ni mawili.kufa ama kupona. . Ila ukiwa na spirit ya mapambano unaaamini utashinda na utarudi salama.. .. Hebu twendeni jamani Tanzania ni vijukuu vya Nyerere mkombozi😂😂😂