Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,467
- 3,230
Habari za asubuhi wapendwa
Napenda kukuri kwamba nina pasi ya kusafiria niliyoikata mwaka 2014 na itaisha 2024. Nilikata passport nilitegemea kwenda Zambia kufanya kazi lakini baada ya muda ile kazi sikuipata tena baada ya kampuni husika kusitisha zoezi la kuajiri tena.
Kutokana na zoezi la Serikali yetu kubadili passport zote kabla 2020, nataka kutumia passport yangu( kuichafua) ili niweze kuomba mpya. Ikumbukwe sijawahi kuitumia tangu niipate 2014. Nimeplan kwenda Mombasa kutembea hata kwa siku moja dhumuni ni kuitumia hii passport.
Naombeni wajuzi wa mambo wanieleze natakiwa kuwa na nini zaidi ya passport. Je, kuna maelezo yoyote natakiwa kuwa nayo zaidi ya kutembelea rafiki au biashara?
Naombeni kujua lolote
Natanguliza shukrani
Napenda kukuri kwamba nina pasi ya kusafiria niliyoikata mwaka 2014 na itaisha 2024. Nilikata passport nilitegemea kwenda Zambia kufanya kazi lakini baada ya muda ile kazi sikuipata tena baada ya kampuni husika kusitisha zoezi la kuajiri tena.
Kutokana na zoezi la Serikali yetu kubadili passport zote kabla 2020, nataka kutumia passport yangu( kuichafua) ili niweze kuomba mpya. Ikumbukwe sijawahi kuitumia tangu niipate 2014. Nimeplan kwenda Mombasa kutembea hata kwa siku moja dhumuni ni kuitumia hii passport.
Naombeni wajuzi wa mambo wanieleze natakiwa kuwa na nini zaidi ya passport. Je, kuna maelezo yoyote natakiwa kuwa nayo zaidi ya kutembelea rafiki au biashara?
Naombeni kujua lolote
Natanguliza shukrani