Naombeni ushauri Wakuu
biashara hapa Arusha imekuwa ngumu na competition ni kali mno
nafikiria kwenda kufungua ofisi Mtwara,naombeni ushauri huo mji ukoje na wenyeji wake wakoje?
je ni idea nzuri hiyo???
tena huko hakuna mzaa mzaa jambo la kwanza Nke wa Ntu nawe utaveshwa shanga kiunoni mambo mengine utayaona kadili matendo yako yanavyozidi kuonekana au kupungua ata icho khdogo ulichonacho utanyang'anywa apewe mwenye kingi huku unaona ASANTE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.