Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Mkuu unaendeleaje hapo mjengoni.
Hakuna Chama chochote kile cha Siasa kinachofaa hapa nchini Tz, vyama vyote ni "wale wale tu."Nina ndoto ya kuwa mwanasiasa. Nataka kushiriki,kama kiongozi wa kisiasa,katika kuiongoza na kuijenga nchi yangu-Tanzania. Nina ndoto ya kuwa mwanasiasa mahiri. Nataka kujiunga na wanasiasa vijana waadilifu na wenye uchungu wa kweli wa ukombozi wa kifikra na kiuchumi wa watanzania.Ni mzaliwa wa Wilaya ya Kibaha,Mkoa wa Pwani ingawa ni mngoni. Tanzania yetu inaruhusu kuchanganyika kama hivi.
Sasa nina miaka thelathini.Ni msomi wa sheria kwa Shahada ya kwanza niliyohitimu mwaka 2009 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Nikiwa shuleni na Chuo Kikuu na hata Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo,almaarufu kama Law School of Tanzania,nimewahi kuwa kiongozi wa ngazi mbalimbali.Nilianzia umonita hadi Urais.CV yangu ikihitajika nitaiweka hapa
Wajuzi wa siasa za nchi hii niongozeni.Nifanyaje? Chama gani cha kisiasa kitanifaa? Kwanini? Nisaidieni wakuu
Ndiyo maana hadi leo sijawahi kujiunga popote...nchi ngumu sana hiiHakuna Chama chochote kile cha Siasa kinachofaa hapa nchini Tz, vyama vyote ni "wale wale tu."
Sijawahi kuwa....Vipi ushakua? Kuna nafasi ya Katibu Mkuu ipo wazi vipi umesha-apply au bado?
Baada ya miaka 10 Sasa yupo shamba analima magogo sio mwanasiasa tena,Mkuu unaendeleaje hapo mjengoni.
Ili kuwa safe side ktk nchi za bara la Afrika, Urusi, China, Korea ya Kaskazini, ni vyema ukajiweka kando kabisa na vyama vya Siasa na Wanasiasa kwa ujumla.Sijawahi kuwa....
Hakika MkuuIli kuwa safe side ktk nchi za bara la Afrika, Urusi, China, Korea ya Kaskazini, ni vyema ukajiweka kando kabisa na vyama vya Siasa na Wanasiasa kwa ujumla.
Amepishana na gari la mshahara saivi angeukwaa ukatibu mkuu.Baada ya miaka 10 Sasa yupo shamba analima magogo sio mwanasiasa tena,
Ili ufanikiwe na uwe tajiri kwenye hizo nchi ulizo taja, ina bidi uwe karibu na siasa na wanasiasa kwa ujumla.Ili kuwa safe side ktk nchi za bara la Afrika, Urusi, China, Korea ya Kaskazini, ni vyema ukajiweka kando kabisa na vyama vya Siasa na Wanasiasa kwa ujumla.
Matokeo yake ni kwamba lazima utakuwa na mafanikio haramu, mafanikio ya magumashi na ya wasiwasi yasiyokuwa Endelevu (Unsustainable development/ achievements).Ili ufanikiwe na uwe tajiri kwenye hizo nchi ulizo taja, ina bidi uwe karibu na siasa na wanasiasa kwa ujumla.
Kama Hadi muda huu hujajua ni wapi patakifaa, maana yake hufai kuingia kwenye Hilo tamanio, maana yake hujui agenda za vyama vilivyopo nchini.Nina ndoto ya kuwa mwanasiasa. Nataka kushiriki,kama kiongozi wa kisiasa,katika kuiongoza na kuijenga nchi yangu-Tanzania. Nina ndoto ya kuwa mwanasiasa mahiri. Nataka kujiunga na wanasiasa vijana waadilifu na wenye uchungu wa kweli wa ukombozi wa kifikra na kiuchumi wa watanzania.Ni mzaliwa wa Wilaya ya Kibaha,Mkoa wa Pwani ingawa ni mngoni. Tanzania yetu inaruhusu kuchanganyika kama hivi.
Sasa nina miaka thelathini.Ni msomi wa sheria kwa Shahada ya kwanza niliyohitimu mwaka 2009 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Nikiwa shuleni na Chuo Kikuu na hata Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo,almaarufu kama Law School of Tanzania,nimewahi kuwa kiongozi wa ngazi mbalimbali.Nilianzia umonita hadi Urais.CV yangu ikihitajika nitaiweka hapa
Wajuzi wa siasa za nchi hii niongozeni.Nifanyaje? Chama gani cha kisiasa kitanifaa? Kwanini? Nisaidieni wakuu
Matajiri wa nchi zote duniani wana mahusiano ya karibu na siasa na wanasiasa.Matokeo yake ni kwamba lazima utakuwa na mafanikio haramu, mafanikio ya magumashi na ya wasiwasi yasiyokuwa Endelevu (Unsustainable development/ achievements).
Hakika Mkuu. Kwa miaka kumi nimeshindwa kuamua kuwa mwanasiasa. Naendelea na taaluma yangu tuKama Hadi muda huu hujajua ni wapi patakifaa, maana yake hufai kuingia kwenye Hilo tamanio, maana yake hujui agenda za vyama vilivyopo nchini.
Ni vema ukaendelea kuitumikia nchi kwa taaluma yako, maana Kuna maeneo mengi yanayohitaji utatuzi kupitia taaluma yako
Kama unataka kuwa mwanasiasa kupitia wazalendo na wakombozi wa kweli wa tanzania tunayoitaka, unatakiwa kuvaa gwanda ingia kwenye mstari ................... tangaza M4C.
Kama unataka kuwa mwanasiasa kupitia magamba hiyo elimu yako siyo kigezo, unatakiwa uingie chuo cha siasa hapo bagamoyo upewe cheti uwe vuvuzela kama lusinde
Ongezea ubobezi kwenye UJINGANina ndoto ya kuwa mwanasiasa. Nataka kushiriki,kama kiongozi wa kisiasa,katika kuiongoza na kuijenga nchi yangu-Tanzania. Nina ndoto ya kuwa mwanasiasa mahiri. Nataka kujiunga na wanasiasa vijana waadilifu na wenye uchungu wa kweli wa ukombozi wa kifikra na kiuchumi wa watanzania.Ni mzaliwa wa Wilaya ya Kibaha,Mkoa wa Pwani ingawa ni mngoni. Tanzania yetu inaruhusu kuchanganyika kama hivi.
Sasa nina miaka thelathini.Ni msomi wa sheria kwa Shahada ya kwanza niliyohitimu mwaka 2009 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Nikiwa shuleni na Chuo Kikuu na hata Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo,almaarufu kama Law School of Tanzania,nimewahi kuwa kiongozi wa ngazi mbalimbali.Nilianzia umonita hadi Urais.CV yangu ikihitajika nitaiweka hapa
Wajuzi wa siasa za nchi hii niongozeni.Nifanyaje? Chama gani cha kisiasa kitanifaa? Kwanini? Nisaidieni wakuu
Dr.Wilbrod Peter Slaa