Nisaidie wanajamiiforums eti ukiwa mwanajeshi unakuwa na tabia mbaya kama kuvuta bangi, kuwa mlevi, kupenda wanawake ovyo, na mwisho unaweza kufa muda wowote vikitokea vita.
Mwenzenu nipo njia panda mama hataki kabisa kusikia habari za jeshi namimi ndo kazi ninayoipenda.
Nisaidie wanajamiiforums eti ukiwa mwanajeshi unaweza kufa muda wowote vikitokea vita.
Unapenda jeshi lipi?
La Mgambo , Jkt , Magereza au?
unaweza kugangamala....?
Nisaidie wanajamiiforums eti ukiwa mwanajeshi unakuwa na tabia mbaya kama kuvuta bangi, kuwa mlevi, kupenda wanawake ovyo, na mwisho unaweza kufa muda wowote vikitokea vita.
Mwenzenu nipo njia panda mama hataki kabisa kusikia habari za jeshi namimi ndo kazi ninayoipenda.
Ni rahisi katafute gwanda na buti uvae alafu uvute dude la kimataifa
Discipline and standards are not extraordinarily complicated, or hard to maintain.
Discipline and standards simply are the why and the how of being an Army professional
Pia msikilize mama yako,
yeye anataka upate kazi kwakua jeshi sio kazi ndo maana huwa wanajeshi hawaajiriwi wanaandikishwa tu.
acha dharau na mtazamo hasi huo. usimkatishe tamaa mwenzio. jeshi ni kazi tena ya kiume.
Wewe ndo hujui,wanajeshi wanaandikishwa hawaajiriwi.
Waulize watakwambia
acha dharau na mtazamo hasi huo. usimkatishe tamaa mwenzio. jeshi ni kazi tena ya kiume.