Nataka kuwa Afisa Upelelezi wa kituo cha Polisi, je nikajieleze kwa Mkuu wa Kituo?

Mpaka Hapa Kazi Uwezi Pata.Maana Ungekuwa Serious Ungeshajua Procedure za Kujiunga..

Afu Nikuibie Siri Wengi waliopo Makazini na Wanafanya Shuguli Hizo wanafwatwa Na Kuobwa sio Wao Ndo Wanaomba
 
Movie zimekuharibu. Unafikiri upelelezi wa kibongo upo kama kwenye moview za akina Bad Spencer na Terence
 
"natamani ningekuwa pale hata kuwasaidia kwa chochote"- Mzalendo sana wewe lakini hakuna jumpstart kwa cheo cha namna hiyo, kama upo vizuri kwenye kupeleleza endelea kupeleleza na kutoa "anonymous tips" kwa polisi labda siku moja watakupeleleza kwa kuwapa taarifa mapema(1st hand info.), huwa unapataje taarifa? nadhani kwa namna hiyo utaheshimika(honours).
 
ukienda ccp ukitoka utaishia kuinda benki,watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa ,kuna provate firm kibao za mambo ya kipelelezi kama vipi fungua yako au omba ajira huko,kwa msaada mtafute IGP mtaafu maundi pale clocktower ana kampuni ya dizaini hiyo,angalizo we waweza kuta hauna element za mpelelezi bali mbea
We jamaa ni noma ,hapo umemaliza kila kitu
 
Wadau,

Mimi nimesomea fani ya ICT na nimeajiriwa lakini nina element za upelelezi na ufuatiliaji tangu ukuaji wangu. Nina motivation ya kuwa part ya Jeshi la Polisi kama Afisa Upelelezi lakini sijiskii kwenda Chuo cha Uaskari kwa miaka ingine kadhaa. Je, ni hatua zipi nifuate nifikie hii ndoto?

Ninapoishi kuna kituo cha polisi ambacho huwa natamani ningekuwa pale hata kuwasaidia kwa chochote. Nilifikiria kumface Mkuu wa Kituo na kumweleza lakini sijui kama ni sahihi.

Napenda maisha ya kumtrack mtu, shughuli za kiintelijensia na kujichanganya maeneo nikiwa kama mtu was kawaida kumbe ni Mpelezi.

Nifanyeje? nianzie wapi? Kuna uwezekano wa ku-jumpstart?


kijana Joel Johansen follow your dreams achana na wanaosema upo kwenye illusions za movie za kizungu. kila mafanikio lazima yawe na kichochezi chake, hivyo basi inawezekana na wewe umechochewa na hizo movies za kizungu, who knows?
 
Mpaka Hapa Kazi Uwezi Pata.Maana Ungekuwa Serious Ungeshajua Procedure za Kujiunga..

Afu Nikuibie Siri Wengi waliopo Makazini na Wanafanya Shuguli Hizo wanafwatwa Na Kuobwa sio Wao Ndo Wanaomba
mkuu Meek Mill huyu kijana Joel Johansen anasemea upelelezi wa kipolisi (C.I.D) na sio upelelezi wa kijasusi (T.I.S.S)

C.I.D wanatoka CCP moshi na hawaombwi bali wanateuliwa miongoni mwa mapolisi ila majasusi (T.I.S.S) ndio wanatongozwa kufanya kazi hizo baada ya kuchunguzwa kwa kina na muda mrefu sana
 
Wadau,

Mimi nimesomea fani ya ICT na nimeajiriwa lakini nina element za upelelezi na ufuatiliaji tangu ukuaji wangu. Nina motivation ya kuwa part ya Jeshi la Polisi kama Afisa Upelelezi lakini sijiskii kwenda Chuo cha Uaskari kwa miaka ingine kadhaa. Je, ni hatua zipi nifuate nifikie hii ndoto?

Ninapoishi kuna kituo cha polisi ambacho huwa natamani ningekuwa pale hata kuwasaidia kwa chochote. Nilifikiria kumface Mkuu wa Kituo na kumweleza lakini sijui kama ni sahihi.

Napenda maisha ya kumtrack mtu, shughuli za kiintelijensia na kujichanganya maeneo nikiwa kama mtu was kawaida kumbe ni Mpelezi.

Nifanyeje? nianzie wapi? Kuna uwezekano wa ku-jumpstart?
Kasome CISA classes pale imit., hii kozi itakusadia katika kufanya it security auditing.

Mambo ya fbi na ciA.
 
Back
Top Bottom