Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,909
Ila korean series haimfanyi mtu kujua kuchezea computer had aweze kimtrack mtu..Madhara ya korean series ndo haya
Ila korean series haimfanyi mtu kujua kuchezea computer had aweze kimtrack mtu..Madhara ya korean series ndo haya
ukienda ccp ukitoka utaishia kuinda benki,watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa ,kuna provate firm kibao za mambo ya kipelelezi kama vipi fungua yako au omba ajira huko,kwa msaada mtafute IGP mtaafu maundi pale clocktower ana kampuni ya dizaini hiyo,angalizo we waweza kuta hauna element za mpelelezi bali mbea
Hahahahhahahahahahahahhaha! Haki Ya Mungu mkuu nimecheka sana. Hahahaha! Eti nikasomee uProffesor!Mwenzako jana kasema amepata divis 1:3 form six anataka kusomea U_ Professor
Haiwezekani mwenzako asote na mabio ya kupanda mlima wa Mr. Price kwa miezi kadhaa wewe utoke tu kwenu na mbwembwe nyingi za kufanya kazi ambayo hutaki kuingia gharama ya kuipata...mkuu wa kituo hatoi ajira iwe kwa raia au kwa mgambo bila utaratibu kufuatwa na kama ingekuwa hivyo basi jeshi la polisi au lolote lile lisingekuwa na maana ya kuitwa jeshi. jiulize kwa nini hadi mtu mwenye elimu kubwa tu ya digrii au master lazima aende depo...NENDA DEPO UKAKATE MAGEUKO NA MBIO ZA KUTOSHA ILI HAO UNAOTAKA KUWAPELELEZA WAKIKUSHTUKIA UWE TAYARI KWA LOLOTE.
Mkuu pamoja na yule wenzio, napenda mfahamu kwa ndoto yenu hio CCP is a must, lazima utie mguu.Mtoa mada upo km mm,
Incase ukpata njia mbadala zaid ya ccp tujuzane mkuu..
Upelelez wa kisasa na ccp vtu vwili tofaut ... Sema kbonhobongo cdhan km inaeleweka..
Some stay in da office,some perform in the field...#teamWork
bro kasome law enforcement sawa sehemu za kufanyia upelelez zipo nyingi sana kama hupendi kwenda moshi
LolMwenzako jana kasema amepata divis 1:3 form six anataka kusomea U_ Professor
Unaanza aje kufuatilia mtu, ili ujue nini kumhusu yeye? Nchi nyingi watu kama wewe huitwa stalker na kuna sheria ukigundulika unaweza kufungwa. Haiwi kipaji ila ni kutojitambua fulani na kujikuta unataka kumfuatia mtu kwa kila anachofanya.Wadau,
Mimi nimesomea fani ya ICT na nimeajiriwa lakini nina element za upelelezi na ufuatiliaji tangu ukuaji wangu. Nina motivation ya kuwa part ya Jeshi la Polisi kama Afisa Upelelezi lakini sijiskii kwenda Chuo cha Uaskari kwa miaka ingine kadhaa. Je, ni hatua zipi nifuate nifikie hii ndoto?
Ninapoishi kuna kituo cha polisi ambacho huwa natamani ningekuwa pale hata kuwasaidia kwa chochote. Nilifikiria kumface Mkuu wa Kituo na kumweleza lakini sijui kama ni sahihi.
Napenda maisha ya kumtrack mtu, shughuli za kiintelijensia na kujichanganya maeneo nikiwa kama mtu was kawaida kumbe ni Mpelezi.
Nifanyeje? nianzie wapi? Kuna uwezekano wa ku-jumpstart?
marhaba donshikamoo mdukuzi