Aunty kemmy
Member
- Dec 13, 2013
- 46
- 23
Nataka kushika mimba nimejaribu sana lakini sijapata. Mzunguko wa siku zangu ni siku 33 hadi 34.
Je hapo siku zangu za hatari kushika mimba ni zipi?
Je hapo siku zangu za hatari kushika mimba ni zipi?