Aunty kemmy
Member
- Dec 13, 2013
- 46
- 23
Nataka kushika mimba nimejaribu sana lakini sijapata. Mzunguko wa siku zangu ni siku 33 hadi 34.
Je hapo siku zangu za hatari kushika mimba ni zipi?
Je hapo siku zangu za hatari kushika mimba ni zipi?
Kushika mimba?!
Jaribu na mimi uone.
Haupo serious Ngabu...we ni FM?
Nataka kushika mimba nimejaribu sana lakin cjapata. Mzunguko wa cku zangu ni cku 33 hadi 34..je hapo cku zangu za hatar kushika mimba ni zipi?