The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,268
Wakuu habari ya muda huu.
Baada ya mambo kua sio yenyewe zama hizi za mukulu ni wakati muafaka wa mimi kurudi shule.
Tulikua tukishauriwa kurudi shule tukawa tunaona ukirudi shule ukija utakuta pesa imeisha, sasa mambo sio mambo option ya shule inakua ni ya lazima.
Nafikiria kufanya yafuatayo kwa mwaka ujao.
1. kusoma CPA, nimechelewa kujiandikisha kwa mitihani ya mwezi wa 11 ila nimejipanga mwezi wa tano mwakani uzima ukiwepo nifanye.
2. Kusoma Masters of Finance & Accounting in Oil and Gas, UDBS.
Nafikiria kuvifanya vyote kwa pamoja, wakuu nipeni ushauri kipi nikipe kipaumbele au nifanye yote kwa pamoja(uwezo huo ninao)
karibuni wakuu.
Baada ya mambo kua sio yenyewe zama hizi za mukulu ni wakati muafaka wa mimi kurudi shule.
Tulikua tukishauriwa kurudi shule tukawa tunaona ukirudi shule ukija utakuta pesa imeisha, sasa mambo sio mambo option ya shule inakua ni ya lazima.
Nafikiria kufanya yafuatayo kwa mwaka ujao.
1. kusoma CPA, nimechelewa kujiandikisha kwa mitihani ya mwezi wa 11 ila nimejipanga mwezi wa tano mwakani uzima ukiwepo nifanye.
2. Kusoma Masters of Finance & Accounting in Oil and Gas, UDBS.
Nafikiria kuvifanya vyote kwa pamoja, wakuu nipeni ushauri kipi nikipe kipaumbele au nifanye yote kwa pamoja(uwezo huo ninao)
karibuni wakuu.