X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
nenda upime tu kisha usitake kujua majibu, hiyo pia inatosha.
Kapime kisha mwaambie bwana Mganga (daktari) atakaye kupima kuwa akutumie majibu kwa njia ya posta. Easy...! kwenye bahasha anaweza kuandika kwa kutanguliza My dear Darling so and so... S.L.P 000, Mji Hapo ulipo...!
Ukifungua Barua haina kubembelezana... Just Two words... You are POSITIVE or NEGATIVE Kwisha...!
Then maswala mengine yatafuata.