Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Linaitwaje??Nenda kanisa alilookoka nalo Dr Remmy (RIP), maana yeye aliokoka na kuendelea na bangi zake kama kawa.
Linaitwaje??Nenda kanisa alilookoka nalo Dr Remmy (RIP), maana yeye aliokoka na kuendelea na bangi zake kama kawa.
Nenda kanisa alilookoka nalo Dr Remmy (RIP), maana yeye aliokoka na kuendelea na bangi zake kama kawa.
Linaitwaje??
hahahhahhaahahahah jamani kama unalijua naomba unielekeze na mimi
Huwezi kutaka kuoka huku bado unatamani pombe.changua moja kuoka na uingie katika raha ya Mungu ya milele na utajisikia amani na furaha tele.Mwamini Kristo naye atakufungua kutoka kwenye kifungo cha pombe.Jamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Kanisa ni wewe mwili wako ni hekalu la Mungu na ukishamwamini Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako haijalishi upo kanisa gani Yesu atatenda miujiza katika maisha yako.Neno la Mungu linasema Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yakomnavyolichangamkia kanisa hilo mnanipa na mimi tamaa ya kuanzisha dhehebu langu halafu hizi mambo zote ruhusa kabisa.
<br />Jamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Kwani pombe inakuzuia nini kuokoka? Pekua kwenye biblia kuna sehemu imeandikwa... kunyweni mvinyo kidogo kwa ajili ya afya... tatizo ni matendo, kunywa lakini hakikisha hutendi dhambi... anyway, hata muujiza wa kwanz wa Yesu ilikuwa ni kugeuza maji kuwa divaiJamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Kanisa ni wewe mwili wako ni hekalu la Mungu na ukishamwamini Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako haijalishi upo kanisa gani Yesu atatenda miujiza katika maisha yako.Neno la Mungu linasema Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako
mtu akiokoka anabadili hata fikira na mfumo wa maisha hawezi tena kuendelea kutumikia ulevi wa pombe.Acha kumpotoshawewe okoka tu ..then endelea kunywa pombe ..huku ukiendelea kushuhudia washikaji zako mkikutana club na ukiendelea kujifunza mafundisho ya kukulia wokou..baada ya miezi kama 2 utajikuta umeacha mwenyewe bila ya mtu yoyote kukwambia..
Mkuu elewa kuwa kanisa ni mwili wa Kristo.Kama wewe unaishi na kulala kwenye nyumba nzuri kwanini usimjenge Mungu wako nyumba yakukusanyika pamoja na wakristo wenzako?Changa na mtumikie Mungu kwa uwezo wako wote maana mali na vitu vyote ni mali yake.kwa hiyo wanatuchangisha hela za kujenga makanisa tuwatoe mkuku