Nimekubamba leowalimu, manesi wana upendo sana. Na ni walezi wazuri wa familia.
Si chura tena umehamia kny helaAna hela?
MamaaaMimi ni askari aisee,vipi hapo am I a wife material???
Nimekubamba leo
Kiongozi hiyo lugha ikoje hapo? Unaoa mwalimu au unaoa mtu mwenye taalum ya ualimu?Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Sitak wa primary
Vipi fursa? Siyo wife material sababu ni askari??Mamaaa
Mkuu Oa mwanafunzi kama unamashaka na mwalimu
Mkuu binafsi nakushauri angalia mwenyewe mambo ya siku hizi eti mwalimu ndo wife material yamepitwa na wakati angalia mke anaekufaa alafu mwombe mungu wako akupe mke mwema enough
Ticha ndio wenyewe bhana
Ukimfurahisha ikambana vizuri utasikia a e i o u u u u u u wi
Kiongozi hiyo lugha ikoje hapo? Unaoa mwalimu au unaoa mtu mwenye taalum ya ualimu?
Kuna walimu na mapolisi wanapenda kupiga mizinga hadi wanaboa.Mm pindi natafuta mwenza sijavutiwa na hawa walimu,wanaendekeza shida,pia wanadanga na wakubwa zao sitaki kusikia hawa watu
oa utombewe na walimu wakuu