Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

Unaoa mwanamke ualimu ni taaluma tu vigezo vya wife material lazima uzingatie.
 
Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume

Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Kiongozi hiyo lugha ikoje hapo? Unaoa mwalimu au unaoa mtu mwenye taalum ya ualimu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom