King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
... kumbe watoto wa kike "mtihani" ehh? ...lol.
Mtoto ni mtoto bana, hata wa kiume aweza acha dini, mila na desturi za kwao na kufanya kinyume na matakwa yenu wazazi.
Acha tu babangu. Mama aliwahi muambia shemeji yake 'mtoto wa kike Hana dini. Wewe ulimbadili mdogo wangu dini, mwanzo nae atabadilishwa'
Pata picha bintiyo anakuletea mchumba pagani, AMA freemason kabisaa. Ni ku-cross fingers tu aisee