KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
Yaah, nataka kuoa binti mdogo dogo, lazima awe kigoli na sio ambae amechezewa ! kama amechezwa sawa (ngoma).
Sasa kama wewe ni binti, then unafit katika hiyo category niliyotaja, jimwage hapa ! Niambie, tena mbele ya baraza, na kama utapatikana kabla ya Ijumaa, basi ijumaa usiku ya wiki utachezwa mdundiko hapa hapa JF, brazameni kaa tayari !
Invited Guess:
ALL
Dress/Language Code:
Casual/Lugha safi
Uninvited Guess :
(Hapa naweza kupata suggestions nani wasialikwe kwenye mdundiko ijumaa usiku ya wiki hii)
Naombeni suggestions nyingine :
Huyu ndiye ninayemtafuta !
Nywele (za bi harusi mtarajiwa )lazima ziwe style hii ! Vinginevyo GEUZA NJIA !
Wazazi wake lazima wawe tayari kutununulia rings worth, not less than $40,000
V.I.P Stuff:
Soda pekee ! Hakuna champaigne. Na hizo soda sio bure, uje na hela yako !
delivery zitakuwepo kwa vip tu !
wageni waalikwa watatakiwa kununua chakula micky d's !
DJ: Hakuna ! njoeni na mp3 players zenu !
Venue : JF (Hoja Binafsi Social Hall)
Njoeni na zawadi, angusha kwenye gift basket, then unaweza kuondoka !
Mwishowe atatakiwa bwana na bibi harusi tu kubali kwenye hall !
Asanteni !
Naomba wee kimwana ujitokeze au member yoyote apropose jina la kimwana !
Nimechuma mwenyewe hili ua !
Sasa kama wewe ni binti, then unafit katika hiyo category niliyotaja, jimwage hapa ! Niambie, tena mbele ya baraza, na kama utapatikana kabla ya Ijumaa, basi ijumaa usiku ya wiki utachezwa mdundiko hapa hapa JF, brazameni kaa tayari !
Invited Guess:
ALL
Dress/Language Code:
Casual/Lugha safi
Uninvited Guess :
(Hapa naweza kupata suggestions nani wasialikwe kwenye mdundiko ijumaa usiku ya wiki hii)
Naombeni suggestions nyingine :
Huyu ndiye ninayemtafuta !
Nywele (za bi harusi mtarajiwa )lazima ziwe style hii ! Vinginevyo GEUZA NJIA !
Wazazi wake lazima wawe tayari kutununulia rings worth, not less than $40,000
V.I.P Stuff:
Soda pekee ! Hakuna champaigne. Na hizo soda sio bure, uje na hela yako !
delivery zitakuwepo kwa vip tu !
wageni waalikwa watatakiwa kununua chakula micky d's !
DJ: Hakuna ! njoeni na mp3 players zenu !
Venue : JF (Hoja Binafsi Social Hall)
Njoeni na zawadi, angusha kwenye gift basket, then unaweza kuondoka !
Mwishowe atatakiwa bwana na bibi harusi tu kubali kwenye hall !
Asanteni !
Naomba wee kimwana ujitokeze au member yoyote apropose jina la kimwana !
Nimechuma mwenyewe hili ua !