Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

Kwa uzoefu wangu wa kunywa bia kwenye bar tofauti 99%ya wahudumu wa bar ni chakula ya wanywa pombe!
1. Kazi hiyo Ina vishawishi vingi kwa mwanamke hata kama alikuwa so Malaya atajikuta tu wateja wanamshikashika wanacheza nae wanambambia na Mambo kibao.
2. Wanalipwa pesa Ndogo sana mara nyingi ni chini ya 100,000/=
Na anatakiwa ale anywe avae vzr apendeze aende saluni asuke nywele za gharama apange chumba atawezea wapi na kipato ni kidogo?
Hivyo lazima kuwe na sponsor s kibao?
Yupo wa vocha yupo wa chakula yupo wa saluni atakuwa na atakaempangishia getto na kama anakunywa pombe basi yupo wa kumpa offer za bia akishazoeleka bar Fulani basi atahamia bar nyingine wasikomjua vzr na maisha yanaendeleasasa kama ww ndo umemuona kwenye hiyo bar tambua kwamba keishazunguka zaidi ya bar 10 kidogo!
Hawa viumbe wamezoea kula mishikaki nyama choma chips na bia kila siku ndugu yangu utaweza?
Anyway Mungu akusaidie Kati ya zile 99% labda ile 1% anaweza akawa ndo yy
Kila la heri mkuu
 
Bar maids 99% wanauza K. Do this kama Una guts mchunguze!.. how tafuta MTU,,mlevi mpe assignment amuombe K ,,,tunawagonga Sanaa ,
 
Kuna mshikaji wangu mnywaji kila anayemgusa anaambiwa 'We, mi sijiuzi'.

Jamaa atakuwa anakosea wapi?
Bar maids 99% wanauza K. Do this kama Una guts mchunguze!.. how tafuta MTU,,mlevi mpe assignment amuombe K ,,,tunawagonga Sanaa ,
 
Kama una mkwanja, wee oa tuu. Maana wengi wao wamezoea kukunja pesa za offer na keep change kwa siku hakosi 10,000. Bado akiondoka na kichwa kimoja kila siku hakosi 20,000. Sasa kama wewe maisha yako ni ya kuunga unga, ukiyumba kidogo tuu utasaidiwa kutunza familia.
"Nilimwopoa bar nikamwelewa sana, nikamwachisha kazi, nikaoa kabisa na kumzalisha na nilikuwa vizuri kiuchumi lakini ile kukaa mbali nae miezi kadhaa tuu ndoa ilibidi ifutike ikabakia kuwa historia ya miaka minne" aliandika mwana JF mmoja
 
Back
Top Bottom