Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,190
- 4,263
oa tu hayo mambo hayatabirikigi yule ambaye unahisi ukakusumbua ikawa kinyume chake
Kuna uncle wangu kamuoa barmaid alikuwa anafanyia Wayside pub iko Sinza mwaka wa 10 sasa wako poa na wana watoto wawiliUsijaribu kuoa barmaid utajuta
Umeongea pointi sanaMi sipendi kumpa mtu moyo, wote waliokushauri ukae nae nina uhakika wengine hawajawahi hata kugonga barmaid.
Kwa uzoefu wangu, sijawahi kumtaka mwanamke wa Bar akakataa.
Fanya haya kumchunguza:
1. Huwa hawasave namba za wateja, ukishika siku yake angalia namba alizowasiliana nazo mara ya mwisho au ukiwa nae utaona zinapiga namba ambazo hazijaseviwa (atajifanya hamjui huyo mtu)
2. Siku nyingine bar inawahi kufungwa hasa katikati ya wiki lakini yeye atakwambia amechelewa wateja walikuwa wengi (anapita kutafunwa hata bao moja)... au anawahi kwenda kazini, anapitia kupigwa kimoja cha faster
3. Ndani ya wiki kuna siku moja anakuwa off, hiyo ndio siku anatumika hasa.
Twende mbele, turudi nyuma "KUNGURU HAFUGIKI"
Utadumu nae tu Mkuu, haina shaka kabisa.Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa,
Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,
Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!
Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
Study case chukuwa kwa Masaburi alioa bar made na sasa ni mbunge yupo mjengoni.Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa,
Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,
Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!
Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
hata kugegedwa vivivu havijiwezi kiujumlaHeri bar maid mara mia kuliko vitoto vya "ushuani", vilivyokulia nyumba zenye house girls na house boys kibao, havijui hata kufua nguo zao za ndani, vinajua kuchezea simu tu na game.
Japokuwa aina ya biashara anayofanya ina changamoto zake ila kwanza tambua bar maid ni binadamu kama ilivyo wengine, japokuwa asilimia kubwa ya kada hiyo pia hutegemea kipato cha zaida toka kwa wateja kwa njia ya ngono ila bado wapo wengine ambao si wa namna hiyo, katika hili, wapo wadada wengine pia ambao sio bar maid lakini nao wanafanya siku hizi mnaita "kudanga".Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa,
Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,
Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!
Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
Inategemea, ila mabamedi wengi ninaowafahamu wameishia kuwauwa waume zao. Tena mmoja kafa juzi kati hapa dar. Kisa bamedi yeye akiona mwanaume ana hela anajiona anamuhitaji, au anaweza kutaka amiliki hela zako zote awe na mamlaka, yaani ukabidhi kadi ya bank, pia akigundua una demu analipiza kisasi, kwa ufupi kuoa bamedi ni upuuzi, hao ni wa shetani achana nayeNimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa,
Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,
Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!
Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
mabaa maid wako aina tatu wote huhudumia walevi pombe na kazi zao kuzibua vizibo vya pombeAah aisee sijui, inategemea