kibo na mawenzi
Member
- Aug 25, 2018
- 84
- 72
Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa.
Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,
Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!
Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,
Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!
Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!