fikrapevu sungura
Senior Member
- Oct 26, 2011
- 110
- 11
Wadau yeyote anayejua nataka kununua TERIOS KID DAIHATSU cc 650 sijui utumiaji wake wa mafuta. Nataka iwe inanisaidia kwenda nayo kazini. Kwasasa nina NOAH inakula sana mafuta. Tafadhali aliyewahi kutumia gari hii anijuze 1 lita inakwenda kilometa ngapi?