sasa wataka kununua halafu crack dah.
ndo hivo, me nlitzka kununua CS6 real deal online bei nliyokutana nayo nikafunga na browser kabsa
mwenye nayo ani pm, iwe ya crack, niko dar
ninayo ila siuzi nagawa bure kwa nia njema ya kutengeneza mtandao wa marafiki ktk field yangu.ila niko mbali na bongoland.ningekuwa huko ningekupatia gamblermwenye nayo ani pm, iwe ya crack, niko dar
nitafute mi ninayo ina 10GB. Ni pm