Nataka kununua Continental decoder ushauri tafadhali

Nataka kununua Continental decoder ushauri tafadhali

Superleta

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
575
Reaction score
665
Wakuu nataka ninunue continetal decoder nimeona tangazo lao jinsi ya kufunga king'amuzi chao nahisi wapo vizuri sana

Vipi ubora wa picha?

Vipi channels inadi yake?

Vipi movies za kimataifa?

channels jumla ngapi?

Malipo yakoje?
 
Km kipato chako cha kawaida chikua startimes ila km una msuli shusha dstv

Nje ya hapo utateteseka
 
Sio tu kukinunua.

Sikushauri hata kukisogelea karibu.

Kaa nacho mbali sana hiko kisimbusi.
 
ovyo sana hao achana nayo kabisa
Wakuu nataka ninunue continetal decoder nimeona tangazo lao jinsi ya kufunga king'amuzi chao nahisi wapo vizuri sana

Vipi ubora wa picha?

Vipi channels inadi yake?

Vipi movies za kimataifa?

channels jumla ngapi?

Malipo yakoje?
 
Hamna kitu hapo utapata shida na hicho kisumbusi wanakuwa out of service na hawasemi chochote. Nenda StarTimes kama maisha ya kati au Dstv kabisa
 
Back
Top Bottom