Wanajamii forums natafuta nami ninunue BAJAI lakini nasikia kuna mbaya ambazo hazidumu miezi kadhaa imekufa.
Je nitapata wapi mtaalamu anayejuwa kunisadia kujuwa ni aina gani ambayo haitanipa shida wapedwa wangu?
Nina waamini watu wa JAMIIFORUMS ni wema na wamesaidia watu wengi katika issues mbali mbali
NOMBA NISAIDIENI WANA NDUGU NIPATE KA BIASHARA
Asanteni
Je nitapata wapi mtaalamu anayejuwa kunisadia kujuwa ni aina gani ambayo haitanipa shida wapedwa wangu?
Nina waamini watu wa JAMIIFORUMS ni wema na wamesaidia watu wengi katika issues mbali mbali
NOMBA NISAIDIENI WANA NDUGU NIPATE KA BIASHARA
Asanteni