FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,799
- 46,917
Wachina sijui wanatumia material gani kutengeneza hii mikanda hakyaanani..., ukiuangalia mya unavutia kweli..., tumia mwezi tuu uone unavyoparaganyika kama mwogo mkavu..., nimechoka. wapi nitapata kitu chenyewe kabisa cha kudumu na ni how much..??!