Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

kako frsh ila inategemea na eneo unaloishi
kauzwa 45k to 50k unapata GB 20 bure kwa mwezi
kurecharge vifurushi vyake ni kuanzia 10k unapata GB 10, 20k unapata GB 20 hakan unlimited and so...
hakaendi sana MB
tatizo lake kuu hakakai na charge alaf kakipata watumiaje zaidi ya watatu kachemka kam oven ila kako frsh kwa matumiz yako binafs au na dem wko mnasave sana
 
kako frsh ila inategemea na eneo unaloishi
kauzwa 45k to 50k unapata GB 20 bure kwa mwezi
kurecharge vifurushi vyake ni kuanzia 10k unapata GB 10, 20k unapata GB 20 hakan unlimited and so...
hakaendi sana MB
tatizo lake kuu hakakai na charge alaf kakipata watumiaje zaidi ya watatu kachemka kam oven ila kako frsh kwa matumiz yako binafs au na dem wko mnasave sana
Nikikonect laptop, GN 20 si zinaisha chap tu?
 
Wakuu kwa hizi gharama za bando nimefikiria ninunue kale ka wi-fi kadogo ka Airtel kwa aliyewahi kutumia naomba ushuhuda, je hakisumbui mtandaoni?
Bando hujaepuka sana panga la hizi mb za kukadiriwa za kila siku, manake kule ni elfu 10000,kwa Gb10 sasa bado ni kidogo sana hizo GB kikubwa saka tu unlimited kula maisha
 
kako frsh ila inategemea na eneo unaloishi
kauzwa 45k to 50k unapata GB 20 bure kwa mwezi
kurecharge vifurushi vyake ni kuanzia 10k unapata GB 10, 20k unapata GB 20 hakan unlimited and so...
hakaendi sana MB
tatizo lake kuu hakakai na charge alaf kakipata watumiaje zaidi ya watatu kachemka kam oven ila kako frsh kwa matumiz yako binafs au na dem wko mnasave sana
Mimi nataka kukichukua niwe natumia mwenyewe
 
kako frsh ila inategemea na eneo unaloishi
kauzwa 45k to 50k unapata GB 20 bure kwa mwezi
kurecharge vifurushi vyake ni kuanzia 10k unapata GB 10, 20k unapata GB 20 hakan unlimited and so...
hakaendi sana MB
tatizo lake kuu hakakai na charge alaf kakipata watumiaje zaidi ya watatu kachemka kam oven ila kako frsh kwa matumiz yako binafs au na dem wko mnasave sana
Safi sanaaa
 
Back
Top Bottom