Nataka kumuoa Paula Kajala

Nataka kumuoa Paula Kajala

Huyu demu nimekuwa nikimfatilia saana. Nimemuona ni mwanamke mzuri saana ambaye ana Akili saana Tena anafaa kuwa mke kabisa.

Ila wanaempoteza zaidi ni aina ya wanaume ambao anawapata na mazingira ambayo amelelewa
But Na amini nikiwa naye huyu ninaweza kumbadilisha kutoka kuwa slay Queen Na kuwa wife matiere
Pesa ninazo but sitaki nitumie pesa kama kigezo cha kumpata.

Ndugu zangu naombeni tu mniombee nifanikiwe. Paula atakuwa shemeji yenu.
Nasubri mrejesho
 
Huyu demu nimekuwa nikimfatilia saana. Nimemuona ni mwanamke mzuri saana ambaye ana Akili saana Tena anafaa kuwa mke kabisa.

Ila wanaempoteza zaidi ni aina ya wanaume ambao anawapata na mazingira ambayo amelelewa
But Na amini nikiwa naye huyu ninaweza kumbadilisha kutoka kuwa slay Queen Na kuwa wife matiere
Pesa ninazo but sitaki nitumie pesa kama kigezo cha kumpata.

Ndugu zangu naombeni tu mniombee nifanikiwe. Paula atakuwa shemeji yenu.
Unataka Kula mayai na kuku wake sio
 
Umeenda kuoa biashara ya watu mjini.
Alafu malezi aliyolelewa aje awe mke bora kweli +Usingle wa mama yake .

Nenda baba nenda,ila ukweli umekwisha kila kitu kwisha
 
Huyu demu nimekuwa nikimfatilia saana. Nimemuona ni mwanamke mzuri saana ambaye ana Akili saana Tena anafaa kuwa mke kabisa.

Ila wanaempoteza zaidi ni aina ya wanaume ambao anawapata na mazingira ambayo amelelewa
But Na amini nikiwa naye huyu ninaweza kumbadilisha kutoka kuwa slay Queen Na kuwa wife matiere
Pesa ninazo but sitaki nitumie pesa kama kigezo cha kumpata.

Ndugu zangu naombeni tu mniombee nifanikiwe. Paula atakuwa shemeji yenu.
Hauna kibamia mkuu,yule kashapita kwingi sana
 
Ushaiona connection yake na mturuki? Kama kweli ni yeye aisee jamaa kama anachimba kitu hiyo fokoa fokoa sio poa.. jipange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom