Nataka kumuacha japo ninampenda sana

Nataka kumuacha japo ninampenda sana

Wana matatizo mengi tu, cha kwanza wanafanya malengo na watoto wao yani wanaingia kwenye mahusiano kwaajili ya kutatua matatizo yake ya kiuchumi yeye na mtoto wake.

Kwa kifupi single mother %99 wanaingia kwenye mapenzi kwaajili ya kupata pesa za kulea mwanae tu yaani hawaangalii jambo jingine zaidi ya kutaka kupewa pesa tu ya kumlea mwanae.

Ni kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa nitalia nn Ninaona namudu kulea watoto na umri unaruhusu
Hizo nyuzi za kulialia mara single mother kafanya hivi zinakera sana kwanini usimtafute mtu unayeendana naye ukafanya maisha bila kumtupia mwingine lawama. Kuna masingle mother ni wazuri na wana misimamo sana.
 
Ila mara nyingi wanaokosea ndo huwa akili zinatulia sio rahisi kurudia Kosa pia past watu wanakutana na vitu vingi sana inawezekana pia hakupenda kuwa single mama pia lakini past yake ndo ikamfanya awe Bora Zaidi Leo kama unampenda na unaamini anakupenda ilo ndo la muhimu
Hakuna single mama anayeweza kukupenda futa kabisa kwenye akili yako
 
Hakuna single mama anayeweza kukupenda futa kabisa kwenye akili yako
Kwann mnapenda kugeneralise vitu?? Kwann usitumie hata neno wengi wao ina maana ww unawafahamu single maza wote duniani ? Kama ulipigwa tukio si wote wako hivo
 
Back
Top Bottom