Nataka kumuacha japo ninampenda sana

Nataka kumuacha japo ninampenda sana

Habari wakuu,

Naombeni kunisaidia njia ya kumuacha mwanamke unayempenda sana, yaani ukikaa dk 5 lazima umuwaze. Nahitaji kumuacha kwasababu zangu binafsi, ingawa ananipenda sana na mimi nampenda sana kutoka kwenye moyo wangu.

Cha kwanza amenizidi umri miaka 5, cha pili ana mtoto, cha tatu kashaachana na wanaume sita ambao mimi nimewashuhudia na bado sijui huko nyuma. Kwa jinsi ninavyompenda naelekea kuwa chizi kabisa, ameniteka ufahamu wangu na moyo ila nataka nimuache.

Je, nitumie mbinu gani?

Asanteni.

Tafuta kazi YA kufanya Mapenzi hayatakusumbua.

Mapenzi yanatabia ya kusumbua watu wasio shughuli ya kufanya, wasio na changamoto au majukumu mengine Makubwa.

Kama unakazi mwambie Boss wako akuongezee majukumu
 
Kaachana na wanaume 6 aliofunganao ndoa au watu wa starehe tu? Kama hana kasoro unamuacha ili iweje? Utakuja kukutana na wa umuri wako na asie na mtoto ila atakupasua kichwa usiku na mchana bila half time hadi udate.
 
Habari wakuu,

Naombeni kunisaidia njia ya kumuacha mwanamke unayempenda sana, yaani ukikaa dk 5 lazima umuwaze. Nahitaji kumuacha kwasababu zangu binafsi, ingawa ananipenda sana na mimi nampenda sana kutoka kwenye moyo wangu.

Cha kwanza amenizidi umri miaka 5, cha pili ana mtoto, cha tatu kashaachana na wanaume sita ambao mimi nimewashuhudia na bado sijui huko nyuma. Kwa jinsi ninavyompenda naelekea kuwa chizi kabisa, ameniteka ufahamu wangu na moyo ila nataka nimuache.

Je, nitumie mbinu gani?

Asanteni.

Kama anakupenda, anakuheshimu anakusikiliza usimuache nakwambia.
Haijalishi alikuwa na wanaume wangapi huenda alikuwa muhanga tu, tunajijua wanaume wengi wapigaji na wahanga wanakuwa wanawake.

Mkuu kama hajakukosea chochote ukimuacha ipo siku utakuja kumkumbuka
 
Habari wakuu,

Naombeni kunisaidia njia ya kumuacha mwanamke unayempenda sana, yaani ukikaa dk 5 lazima umuwaze. Nahitaji kumuacha kwasababu zangu binafsi, ingawa ananipenda sana na mimi nampenda sana kutoka kwenye moyo wangu.

Cha kwanza amenizidi umri miaka 5, cha pili ana mtoto, cha tatu kashaachana na wanaume sita ambao mimi nimewashuhudia na bado sijui huko nyuma. Kwa jinsi ninavyompenda naelekea kuwa chizi kabisa, ameniteka ufahamu wangu na moyo ila nataka nimuache.

Je, nitumie mbinu gani?

Asanteni.
Hadi umefika umri huo unamapito mengi umepitia ikiwemo furaha na huzuni lakini ulipita salama.Tumia mbinu ulizotumia kupita huko.Mwanaume jasiri hashindwi kupotezea haya.
 
Hahaha, kakuzidi miaka mitano ana mtoto nje na kashaachana na wanaume sita.

Aseeh, unaishi grenade muda wowote litalipuka so ni bora uchimbe mapema tu, acha ujinga wa kusema unampenda, huku nje kuna wanawake wengi sana wanaokufaa.
 
Habari wakuu,

Naombeni kunisaidia njia ya kumuacha mwanamke unayempenda sana, yaani ukikaa dk 5 lazima umuwaze. Nahitaji kumuacha kwasababu zangu binafsi, ingawa ananipenda sana na mimi nampenda sana kutoka kwenye moyo wangu.

Cha kwanza amenizidi umri miaka 5, cha pili ana mtoto, cha tatu kashaachana na wanaume sita ambao mimi nimewashuhudia na bado sijui huko nyuma. Kwa jinsi ninavyompenda naelekea kuwa chizi kabisa, ameniteka ufahamu wangu na moyo ila nataka nimuache.

Je, nitumie mbinu gani?

Asanteni.
ndio utammiss na nn, hamna dawa kubwa ya vitu kama mda. jipe mda fata mambo yako mengine ulionayo, kma n biashara endelea kuishi.

MUDA utakufanya usahau pole pole, iko siku unaeza kumbuka ktu ambacho ulzan sjui kitakutesa lkn hautajiskia vbaya.

amna mbinu ata, fanya kama umekula embe ndio ni tamu lkn kokwa imefika mda wa kutupa, tupa endelea na mambo mengine, mpka ifikie embe lingine.
 
Back
Top Bottom