MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,867
Haya endelea kumtumia pesa
Hahaha...
Haya endelea kumtumia pesa
Oooh......kumbe waliuliza pia eeh......
ashtakiwe tujue moja........
Akuwekee wewe ni nani! Utamsaidiaje?mtoa mada ungeweka mikataba ulivyoandikishana sababu yeye alishalalamika kuwa watu wanaandaa matamasha wanatangaza rose atakuwepo wakati hana habari
i am sorry to say wewe ndiye utakaye kufa, mimi sitakufa. umeiangalia hii kama namtishia, lakini kama ungekuw ana akili ungejua kuwa nilikuwa namshauri. tatizo ni kwamba tumetofautiana akili ndio maana haujawa mwanasheria. bye.Kafie mbele wewe, unamtia woga mwenzako kwanini? na wewe sio mwanasheria wala nini, NI TAPELI MWINGINE TU.
Always cheap is expensive sijui kwanini watu huwa hawaelewi. Kuna mtu hapo juu kagofoka sana hapo juu lakini ni uelewa mdogo . Brother fikilia kidogo umempa 2 million. Aje mwenyewe, madansa wake, usafiri na mambo mengine yanayotakiwa, watu wote wapendeze kwa shughuli yako kwa 2m tu? Impossible . Kuna siku mdogo wangu alikuwa anaoa sasa watoa huduma wakapledge kati ya hao akawapo Mc na mziki akadai he can do the job kwa 450000/= kila mtu akamkubali mimi tu ndiye niliyemkata for simple reason hiyo hela aliyodai haita mtosheleza kwanza vyombo mziki, usafiri, hatakuwapeke yake lazima aje na mmoja au wawili then apate faida. Nilisema mtu Huyu mkimpa pesa haji na hata akija mziki wake utakuwa pfyongoNi kweli ni ndogo cha muhimu ni makubaliano.. Angekuwa anakataa sio tatizo ni ndogo lakini pia hupatikana kwa taabu.
Mmmh hivi ukweli upo wapi? Mleta mada umeulizwa wakati mnafanya mawasiliano hayo mlishakutana physically?. Maana siku hizi hizi mitandao yote haina usalama, huenda kunamtu aliihark akaunti zake na ndo mnawasiliana nae (tapeli) na huyo real Rose asijue kinachoendelea. Na pia hizi tuhuma za waimba injili eti kabla ya tamasha nyuma ya jukwaa huwa wanatoa stim kwa ganja au madawa kuna ukweli upi? Maana kwa wazee wa bongofleva hilo halina ubishi cause mmoja alishikwa nayo Airport JKN akienda Mbeya na alisema ni kutolea stimu za kupandia jukwaani
i am sorry to say wewe ndiye utakaye kufa, mimi sitakufa. umeiangalia hii kama namtishia, lakini kama ungekuw ana akili ungejua kuwa nilikuwa namshauri. tatizo ni kwamba tumetofautiana akili ndio maana haujawa mwanasheria. bye.
Ninataka kumshtaki Rose mhando kwa utapeli. Tafadhari naomba wabobezi Wa kisheria hapa Ndani. Mara ya kwanza niliandaa tukio tanga hakutokea sbb alipata ajali, nilimlipa nikasamehe. Mara ya pili niliandaa tamasha Morogoro.. Nikamlipa hakutokea kwa maelezo aliyojieleza.. Mara ya tatu nimeandaa tamasha Tanga hajatokea tena mara hii nikiwa nimeandikishana nae. Kilichoniuma zaidi ni pale aliponidanganya kwa kutaka pesa zaidi na kuniambia yuko njiani anakuja nimtumie pesa ya mafuta ya Gari.. Kumbe hata wazo la kuja Kwenye tamasha. Hana mpaka sasa ameshakula zaidi ya milioni nne kwa style. Tofauti je naweza fungua kesi mahakamani. Naomba msaada. Sasa hivi nilimpigia simu hapokei..
Mkubwa kwako wewe na familia ila sie wengine tunamuona kama mpiga chaanga kwenye disko vumbi.Kweli kila mtu anamtazamo wake.Fedha zenyewe Wanalipa ndogo million moja, mbili . Rose ni mwanamziki mkubwa watampaje fedha kidogo kiasi hicho?
Mkubwa kwako wewe na familia ila sie wengine tunamuona kama mpiga chaanga kwenye disko vumbi.Kweli kila mtu anamtazamo wake.
Ninataka kumshtaki Rose Mhando kwa utapeli. Tafadhali naomba wabobezi wa kisheria hapa ndani.
Mara ya kwanza niliandaa tukio Tanga hakutokea sababu alipata ajali, nilimlipa nikasamehe.
Mara ya pili niliandaa tamasha Morogoro.. Nikamlipa hakutokea kwa maelezo aliyojieleza..
Mara ya tatu nimeandaa tamasha Tanga hajatokea tena mara hii nikiwa nimeandikishana nae. Kilichoniuma zaidi ni pale aliponidanganya kwa kutaka pesa zaidi na kuniambia yuko njiani anakuja nimtumie pesa ya mafuta ya Gari.. Kumbe hata wazo la kuja Kwenye tamasha hana mpaka sasa ameshakula zaidi ya milioni nne kwa style tofauti.
Je, naweza fungua kesi mahakamani?
Naomba msaada. Sasa hivi nilimpigia simu hapokei..
Ndugu semzei inawezekana unanifahamu vizuri kuwa sina pesa. Ila hiyo kidogo niloyotoa na namna nilivyoipata ndio inayonihangaisha kuona inapotea katika mazingira ambayo sikuyakusudia na kama nilivyosema hapo awali sio mara moja. Mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa wakimtetea sana Rose. Na nafikiri miongoni mwa watu waliokuwa nae karibu sana mpaka nafikia hatua hii sio jambo ambalo nimekurupuka. Nimekuwa mstahimilivu sana.