Nataka kumsaliti mume wangu

Nataka kumsaliti mume wangu

fanya ufanyayo lakini yote yapo juu yako vitu vingine haviitaji ushauri wa watu wakati maamuzi ushajipangia
 
ooh,kumbe nyumba ndogo,basi itakua ameichoka ya kwako kapata brandnew nyumba ndogo,chakufanya kama kweli hujiuzi tafuta houseboy msafi asienuka jasho awe anakutimizia.

Labda uwe wewe
 
Simegwi na masela

Tunza ndoa yako ya Kimila hiyo dada yangu,achana na tamaa za kijinga hizo,

Huyo unaetaka Kumpa utam huo unaamini atakugegeda mpaka ulizike??
Na usipo lizika naamin utampa mwingine na Mwingine mpaka upate wa kuku kojoza ham zikuishe,
Huoni tayari utakuwa umetoa sadaka Mwili wako?

Wanaume wote hao unao wataka Lazima wana watu wao,huoni unataka kutenda zambi ya kumnyanganya Mpenzi mwanamke mwezio?

Amsha Akili ongea na Mbabu wako mpate ufumbuzi bana.
 
Tunza ndoa yako ya Kimila hiyo dada yangu,achana na tamaa za kijinga hizo,

Huyo unaetaka Kumpa utam huo unaamini atakugegeda mpaka ulizike??
Na usipo lizika naamin utampa mwingine na Mwingine mpaka upate wa kuku kojoza ham zikuishe,
Huoni tayari utakuwa umetoa sadaka Mwili wako?

Wanaume wote hao unao wataka Lazima wana watu wao,huoni unataka kutenda zambi ya kumnyanganya Mpenzi mwanamke mwezio?

Amsha Akili ongea na Mbabu wako mpate ufumbuzi bana.

Poa nmekuelewa
 
Mkuuuu huyu utasingizia na shetani huyu ni muuza kuku kabisa sema hajielewi kuwa muuza kuku
sifa ya mwanamke ni kuwa mkweli sasa hata kama ameolewa na babu hata akiolewa na kijana kuna siku kijana atachoka tu na yeye ataenda kuswampa huyu hafai kuwa mke wa mtu
shetani akiishaingilia kati ndo mambo huwa hivi
 
Poa msaliti tu mmeo manake kichwa cha habari kinaonesha kukomandi.
 
Tuna matatizo sana ya kufikiri

Makosa huanzia kwenye kufikiri
Kama unalifikiri jambo kwa aina isiyostahiki hata hitimisho la kufikiri kwako itakuwa ya makosa sana

Hili ni tatizo kubwa sana ...........!!!!!!!!!!!!!
 
Yani wewe mama Ashura ndio umeamua kuja kuniaibisha huku kwamba mwezi mzima sikuto.m.b.i. Siyo?wewe si ndio uliyejileta kwangu mpaka nikaamua kumfukuza mke wangu kipenzi au?umesahau vile vi chips kuku nilivyokua nakulisha pale city si ndio eeeh!
Ngoja ntarudi mburula wewe!
 
Habari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia

kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani

nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi

naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi

Tafuta kijana mwenye nguvu, endelea naye kisiri siri haiwezekani mtu anaoa halafu hamkandamizi vema mke wake
 
Sihitaj kuchaguliwa ila nafikiria kama ntakuwa nakosea ndo nahtaj ushaur

Yani miaka 26 unashindwa kukaa na the so called mumeo na kumueleza tatizo lako? Mbaya zaidi umesema mpo in the so called ndoa kwa miaka mitano. Mbona naunganisha dots naona nyota tuu.

Mama miaka mitano katika ndoa si ya kuanyia mchezo hasa ukizingatia hizi ndoa zete za kidigitali. Ebu kaa chini na jamaa umueleze kiu yako ni nini na unataka nini, kuliko kuamua kumsaliti na unaweza pata matatizo zaidi ya hayo uliyonayo kwa sasa in the so called ndoa.
 
Pole sana hakuna mateso kama kukosa aman ya roho na penz LA kweli pale unapopenda
Shoga wangu uamuz unao wewe jiulize that's grandfather wat u gain thea??kwanin ulimpenda cos ya 6*6 or???
ShetAin wa ngono ucimkaribishe kamwe...kama humtaki achana nae olewa na vijana anza familia.
Fear ur lord cheating siyo fresh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom