mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 264
Usichukue uwamuzi eti kwa vile na yy anatoka humkomeshi utachoka ww na huko utakapochagua hakuna amani ya kudumu vurugu zipo ufanye ukijua
Sihitaj kuchaguliwa ila nafikiria kama ntakuwa nakosea ndo nahtaj ushaur
Habari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia
kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani
nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi
We ma laya acha upumbavu hiv hujui kuolewa ni dili sikuhizi ?we umepata zali unalichezeaa warembo wangapi wapi kitaani hawana waume ulivyo Huna akili unaomba ushauri ipo sasa usije kumletea anko ngoma bure
Ingiza jina langu ktk foleni hiyo niwe wa nne
Aisee unataka tuhalarishe dhambi zako, iyo itakuwa ngumu..mbona ease ni maelewano tu,.vunja ukimya mwambie makavu vitu gani u want him to do 4u, taratibu ataanza kulainika na utashangaa mwenyewe..try it and bring ofeedback here..ujachelewa.GO[/QUOTE
ok ntajaribu thnx ushauri wako ]
Habari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia
kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani
nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi