Hapo ni mwisho wa mchezo.
Numebahatika kusoma hapo miaka ya 80.
Siku hizi bei yake kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu.
Chuo cha wapi?
Tumekusikia, Tumekupata Na Hongera Zako.
Hapo ni mwisho wa mchezo.
Numebahatika kusoma hapo miaka ya 80.
Siku hizi bei yake kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu.
Kama unafanya kazi hapo, watoto wako wanasoma bure. Sijui siku hizi, kwa walimu wa Kiswahili.
Pia, division 1 wa Tanzania walikuwa wanapewa scholarship ya kusoma IB one and two (form 5 & 6) halafu wakasimamisha.
Kiboko ni Mzee Mrema wa Impala Arusha.. Watoto kumi wote wamesoma ISM ambayo ada inaizidi IST kidogo
Ofcourse kaka. Kama una biashara nzuri ambayo annual revenue inazidi milion 200 ambazo wabongo wengi wanazo hizo biashara unamsomedha vizuri mwanao hapo.
Sema wengi hawawapeleki wanao labda hawajui au wana kariri kuwapeleka shule za sekondari za kawaida.
Kuna mzee mmoja ana biashara downtown arusha, amesomesha wanae ISM tena kwa pesa zake.
Ofcourse kaka. Kama una biashara nzuri ambayo annual revenue inazidi milion 200 ambazo wabongo wengi wanazo hizo biashara unamsomedha vizuri mwanao hapo.
Sema wengi hawawapeleki wanao labda hawajui au wana kariri kuwapeleka shule za sekondari za kawaida.
Kuna mzee mmoja ana biashara downtown arusha, amesomesha wanae ISM tena kwa pesa zake.