Naomba kujua wakubwa, kama baba yako mlemavu kwenye muongozo wa HESLB wameandika wanaoruhusiwa kuthibitisha ni Mganga Mkuu wa Mkoa na Wilaya au chombo kingine chochote kilichohidhinishwa kuthibitisha ina maana hata Mganga wa Hospital ya Kata wa Serikal anaruhusiwa au mganga mwingine labda wa Wilayani kwenye Hospital za Serikali