Nataka kujiunga na polisi

Nataka kujiunga na polisi

new generation

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
815
Reaction score
1,713
Habari zenu wanajukwaa, ebwana mm ni fresh gradiuate, nataman sana kujiuga na jeshi la polisi, nauliza nifanyeje kupata nafasi ya kujiunga? maana ile chance ya watu kujiunga toka chuoni ilinipita maana nilikua nimelazwa hospitali takriban mwezi mmoja, so the time natoka hospital nilikuta muda wa kutuma application umepita, so guys naombeni mawazo yenu juu ya nini nifanye nijiunge na jeshi la polisi kwa mwaka huu?
 
Nenda wizara ya mambo ya ndani kitengo cha polisi (makao makuu ya polisi) wanaweza kukusaidia vizur. OVEER
 
umesoma degree ipi kwa sababu wana vipaumbele vyao mwaka huu
 
Tuma maombi Mungu mkubwa unaweza kupata kwakuwa Bado hawaja itwa kwenye udahili wanaweza kukupa nafasi endapo watapata Maombi yako au fomu yako ikiwa imejazwa vizuri.
 
Back
Top Bottom