wadau kuna plan nafikilia kuja kufundisha masomo ya computer hasa kwa vijana wetu wa shule za msingi,nitaanza mwakani nikiwa hai,nitafundisha bure bila ya malipo,na vilevile nina mpango wa kuzitengenezea baadhi ya shule za msingi websites ambazo maelezo muhimu kuhusu shule husika yatakuwepo hii ni kuendana na teknolojia ya karne ya ishirini na moja
nawaomba wale watanzania wenzangu ambao mpo fiti kwenye suala zima la computer,mnishauri je huu mpango mzuri au wadau mnanishauri nn kuhusu ili suala?
nakaribisha maoni yenu wakuu
nawaomba wale watanzania wenzangu ambao mpo fiti kwenye suala zima la computer,mnishauri je huu mpango mzuri au wadau mnanishauri nn kuhusu ili suala?
nakaribisha maoni yenu wakuu