TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,482
- 669
Niko naye hapa na anakusikia.
Dogo unasema tu ila najua tutakuona humu kabla ya saa sita usiku unacheza na JF wewe?
Lol
BTW: Smiling Saint kama ukiweza kupotea hata kwa siku 3 bila kuonekana na mimi ntafuata mfano wako na nitapotea kwa siku 90
Otherwise ntakumiss sana ila najua ntakuona paleee kwenye samaki wa kuchoma......
Mi sina shida sana ila ikifika saa kumi kamili naomba uniachoe ndovu moja ya baridiiiiiiiiiii ya kuniagia
Jaman swaiba hata km kusoma huwezi hata picha huon baba!!
Usisahu kuwaambia waweke na masala tafadhali!
jamani bhanaaaaaaa![]()
![]()
Hii makitu itanifaa sana.
jamani mei leo nimeamua kuwa MOD wa kujitegemea, na kufuatia hilo na kutokana na sababu zilizo ndani ya maamuzi na uwezo wangu, sitakuwa hewani kwa wiki kadhaa, kuanzia leo saa kumi jioni..... nitawamiss sana.... hi to Kongosho, Mwali, Mtei One I hope nitakukuta umepunguza machungu maana Smile kanikimbia pia, BAGAH all ze best, Erickb52, tutawasiliana Saint Ivuga, Preta, Mtalingolo, AshaDii, Asprin, Cantalisia, Rejao na wengine woooooooooooote nitawakumbuka!!
si hivyo Cantalisia, ila nilikuwa ninataka first hand information....
mie nilidhani zawadi itakayofaa ni nikikuletea poti maaalumu la mtoto kabisa.... si litafaa?
Excellent vp swaiba,jamani bhanaaaaaaa
Tusiotajwa tunaweza kukuaga? Smiling Saint
Pouwa,itafaa pia.je nikipata ya hivi tu?![]()
Excellent vp swaiba,
Ndio hivo tena,ukikutana nayo huko ww ninunulie unipitishie hapa hm bwana!