nataka kujipa BAN

nataka kujipa BAN

jamani mei leo nimeamua kuwa MOD wa kujitegemea, na kufuatia hilo na kutokana na sababu zilizo ndani ya maamuzi na uwezo wangu, sitakuwa hewani kwa wiki kadhaa, kuanzia leo saa kumi jioni..... nitawamiss sana.... hi to Kongosho, Mwali, Mtei One I hope nitakukuta umepunguza machungu maana Smile kanikimbia pia, BAGAH all ze best, Erickb52, tutawasiliana Saint Ivuga, Preta, Mtalingolo, AshaDii, Asprin, Cantalisia, Rejao na wengine woooooooooooote nitawakumbuka!!
Naomba unipe kazi ya kukusababishia ban ya exactly hizo week kadhaa unazohitaji!!!:A S 41:
 
Naomba unipe kazi ya kukusababishia ban ya exactly hizo week kadhaa unazohitaji!!!:A S 41:
Mwambie aende kwenye jukwaa lako mkakutane kule....
Naaamini itamchukua post 3 tu kabla hajapigwa ban ya mwezi
 
images
Kama hili litafaa sana tu swaiba wangu!

Mbona unaanza kugawa vitu vya kababy ketu katarajiwa??:A S angry:
 
hahahaha,,, Erickb52, siku hizi nimekuwa mpole, siwasababishii tena watu ban!! natafuta kwenda peponi.
Teh ila una uzoefu na lile jukwaa maana mh lataka moyo...
Mbona mkeo Cantalisia umemwacha anatangatanga majukwaani hana uelekeo?
Teh natania aisee asijenitoa macho
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom